MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,928
- 8,976
Kwanini?Jiite mwenye bahati kama hujapata ajira ya ualimu. Hiyo ni kazi itakayokusajili ktk umaskini wa kudumu wa kipato na fikra
Una uzoefu wowote na ajira ya Ualimu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini?Jiite mwenye bahati kama hujapata ajira ya ualimu. Hiyo ni kazi itakayokusajili ktk umaskini wa kudumu wa kipato na fikra
Ukweli mchunguKabisaaaa yaaaan.
Hawa wakiajiriwa inabidi warudi chuo kupigwa msasa kwa miezi hata 2 ndio wapangiwe maana stress zimeharibu kabisa ule uwezo wao waliokuwa nao awali..Kutokana na tangazo lilitolewa Jana bungeni kuhusu ajira mpya bira shaka wizara yako ndo mnufaika mkubwa hivyo yafuatayo yazingatiwe
1.wahanga wa ajira za walimu ni wahitimu wa mwaka 2015 ambao bado wako mtaani ajabu ni kuwa wanaachwa na kuchukuliwa wa 2019 hapa huwa mnatumia njia gani
2. Kwa kuwa watu walishatuma maombi zaidi y mara tatu hususani waliomaliza huko nyuma hahuna haha ya kutuma upya maombi
3.mnapopanga vituo zingatieni maombi ya walioomba mtu anaomba shule A anapelekwa Z
4.mchakato wa kutoa majina usichukue mda mrefu kama huko mwanzo
5.tunajua mtaanza na ndugu zenu ila msisahau walimu waliomaliza 2015
Nawasilisha
Mtu amemaliza form four mwaka 2000 afu anaajiliwa 2022[emoji3]Hawa wakiajiriwa inabidi warudi chuo kupigwa msasa kwa miezi hata 2 ndio wapangiwe maana stress zimeharibu kabisa ule uwezo wao waliokuwa nao awali..
Sasa ni watu wazima na wako focused masuala mengine kabisa.
😂😂😂 Maisha yamewachanganya watu mpaka walichosoma watakuwa wamesahau 😂😂Hawa wakiajiriwa inabidi warudi chuo kupigwa msasa kwa miezi hata 2 ndio wapangiwe maana stress zimeharibu kabisa ule uwezo wao waliokuwa nao awali..
Sasa ni watu wazima na wako focused masuala mengine kabisa.
Haya mambo magumu sana.Hao vyeti feki na mishahara hewa bahati nzuri Jeshini hawakuwepo.
Yule Mbunge ni Kichaa tu,, hizi mambo za kujitolea haimaanishi kwamba mtu ni mzalendo sana au anaweza sana kazi.. sema njaa tu ndo zinawafanya hvyo.. hz mambo ndo zinasababiaha watu kichomekana kiholela.Kuna mbunge amesema waliojitolea wapewe kipaumbele zaidi kwenye hizo ajira au hamjamsikia?
YaaanUkweli mchungu
Kuna wengine wanasema ajira kigezo kiwe GPA ya 3.0 daah [emoji16]Yule Mbunge ni Kichaa tu,, hizi mambo za kujitolea haimaanishi kwamba mtu ni mzalendo sana au anaweza sana kazi.. sema njaa tu ndo zinawafanya hvyo.. hz mambo ndo zinasababiaha watu kichomekana kiholela.
Me nashauri wafungue maombi, vijna waombe na Ajira zitoke kulingana na vigezo vinavyohitajika
Tatizo system ya Tamisemi haina system ya ku-capture waliojitolea, just why last year walikosider mwaka wa kuitimjKuna mbunge amesema waliojitolea wapewe kipaumbele zaidi kwenye hizo ajira au hamjamsikia?
Kwa bachelor na certificate hyo ni kubwa sana.. At least iwe 2.5 kwa levels zoteKuna wengine wanasema ajira kigezo kiwe GPA ya 3.0 daah [emoji16]
]
Wanaweza kukiweka ili kupunguza massive applicationKwa bachelor na certificate hyo ni kubwa sana.. At least iwe 2.5 kwa levels zote
Wakiafanya hvyo watapukutisha watu.. wale wote wasomaji na bataWanaweza kukiweka ili kupunguza massive application
Mie kwa ualimu natamani wakiweke ili tupate walimu Bora, na hii fani itaeshimika Kama ulayaWakiafanya hvyo watapukutisha watu.. wale wote wasomaji na bata
Bila shaka una 3+Mie kwa ualimu natamani wakiweke ili tupate walimu Bora, na hii fani itaeshimika Kama ulaya
Nani kakwambia ukiwa na GPA kubwa wewe ni mwalimu bora? Unadhani ualimu ni kufundisha tu?Mie kwa ualimu natamani wakiweke ili tupate walimu Bora, na hii fani itaeshimika Kama ulaya
Hata Kama wekiweka GPA kubwa bdo wapo watakosa tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii nchi haijawahi kubalance kw kila mmojaNani kakwambia ukiwa na GPA kubwa wewe ni mwalimu bora? Unadhani ualimu ni kufundisha tu?
Kwani kutoa maelezo bila abusive emotions haiwezekani?POINTLESS, WALIMU MNASHIDA SANA HIVI KADA NYINGINE KWANI UWA WANAAJIRIWA KWA KIGEZO CHA KUMALIZA ZAMANI? AU WANAAJIRIWA KWA COMPETENCE NA VIGEZO VYA MTU? YAANI KUMALIZA ZAMANI NDIYO IWE GUARANTEE YA WEWE KUAJIRIWA? ULIONA WAPI? ACHA KUTAFUTA HURUMA WITH FAKE REASONING. NJOONI AJIRA PORTAL HUKU MUONE KAMA KUNA HIVYO VIGEZO UCHWARA VYA "ETI MIMI NIMEMALIZA ZAMANI".. WATU WANAANGALIA UNA NINI SIYO UMEMALIZA LINI NA INGEPENDEZA SERIKALI IWEKE NA INTERVIEW KWENYE AJIRA ZENU. TUPATE COMPETENT TEACHERS SIYO WATU WANAOTAKA MISHAHARA KWA KIGEZO CHA KUMALIZA ZAMANI.
]
Huma akili ww,tuambie hao walio Soma sijui science huko wametengeneza nn hapa nchini?Alafu kuna madogo wamekuja field last month nao wanasomea ualimu first year 2022
Cha ajabu sasa eti ni baed history kiswahili
Yaan nawangalia naona hawa watoto ni vichaa nn