Wahanga wa aris (udsm)

Wahanga wa aris (udsm)

Prezdaa Shaco

Member
Joined
Sep 3, 2013
Posts
46
Reaction score
8
Chuo kuzuia matokeo ya mwanafunzi anaedaiwa ni upungufu wa fikra kwa wasomi wetu wanaofanya kazi kwa mazoea tuu, mwanafunzi yupo mwaka wa 1au 2 unamzuilia matokeo ili iweje wakati bado yupo chuoni na mnaweza kumbana wakati wowote sasa mtu asoma mfano muce then kwao bukoba hujamuonyesha matokeo yake akajua kama kuna somo amesap au vipi unategemea ataweza kutoka bukoba akafatilie matokeo chuoni?? Mimi sioni busara za wasomi hapa zaidi ya kuturithisha chuki na roho mbaya tutakayoenda lipiza kisasi makazini na uraiani... Hivi kweli huu ndio uzalendo tunaofundishwa tuwe nao wasomi...!!?? Imeniuma sana raisi wa muce (daruso)amepigiwa simu kuulizwa na kujibu kuwa ni jambo ambalo kashindwa kulipigania; kwa nini asijiuzulu kuonyesha hisia za wanyonge anaowawakilisha?? Au mnaendelea kutetea msemo wa aliye shiba hamjui mwenye njaa?? Hii nchi inaenda wapi?? Nyinyi wasomi mliounda sheria za kuzuia matokeo hamkusoma bure nyinyi enzi za mwalimu?? Hivi uzalendo unajengwa jkt kwa kufanyishwa kazi ngumu na njaa au unajengwa kwa elimu huru na isio na ubaguzi kwa raia wake...? Imeniuma sana tunajenga taifa linaloelekea wapi
 
mkuu sijaona hata mstari mmoja ukiitaja aris vipi kampeni zinakaribia nini au mmemis kunji ili mjulikane na nyie magazetini. BTW hivi aris ni nini vile.
cc; TATIANA
 
Last edited by a moderator:
Nyie kalipeni ada bana,maswala ya kujilalamisha huku jf hayapendezi.
 
Tatizo nyie madogo hamjielewi inabidi unapobisha kitu au kupinga uangalie na mfumo uliokuepo zamani ama inayotumiwa na vyuo vingine. Private huwezi ruhusiwa kufanya ata test kama unadaiwa.

Labda nikuambie tu kwamba una bahati umefanya mtihani bila kumaliza kulipa Ada ila kisheria airuhusiwi popote pale sasa kama umefanyiwa usamaria ukaona hao watu wajinga na kuja kupayuka hapa as if wewe ndio umeanza kusoma hapo UD leo basi unajidanganya , kalipe Ada dogo. Long Live UDSM.
 
Tatizo nyie madogo hamjielewi inabidi unapobisha kitu au kupinga uangalie na mfumo uliokuepo zamani ama inayotumiwa na vyuo vingine. Private huwezi ruhusiwa kufanya ata test kama unadaiwa. Labda nikuambie tu kwamba una bahati umefanya mtihani bila kumaliza kulipa Ada ila kisheria airuhusiwi popote pale sasa kama umefanyiwa usamaria ukaona hao watu wajinga na kuja kupayuka hapa as if wewe ndio umeanza kusoma hapo UD leo basi unajidanganya , kalipe Ada dogo. Long Live UDSM.
UDSM huwezi fanya UE kama hujalipa ada,kwa sababu huwezi fanya registration ya kozi kama hujalipa ada.Sasa utasomaje bila registration ya kozi.
 
Back
Top Bottom