TV nyingine tena? Si bora waingie ubia na TV zenye waandishi wanao balance story.Serikali iataka kuanzisha TV yake, TBC ni ya CCM.
Mbona Maria Habalance.!Mjitafakari sana kwanini watu Waite TBCCCM huku ni chombo cha Taifa.Muwe na chembe ya aibu kubalance story ili walaji wafikiwe na ujumbe wa kitaifa.
Chakateni taarifa kabla ya walaji,iweje walaji waanze kuchakata news baada yakurusha huku mnawataalamu ndani ya vyombo vyenu.Aibu kubwa sana
Serikali na Maria ni alikuwa wa kwanza kuzaliwa.?Mbona Maria Habalance.!
SifahamuSerikali na Maria ni alikuwa wa kwanza kuzaliwa.?
Sijawahi sikia Maria kama channel ya Taifa, yule ni sawa na MTU binafsiMbona Maria Habalance.!
We sio mzalendo,TBC ipo kwa kishindo.kumbe unaangaliga TV za Burundi
Na jibu lilipaswa kuwa hili hili.Sifahamu
SureNa jibu lilipaswa kuwa hili hili.
Kwa hiyo yeye anaruhusiwa kutobalance.?Sijawahi sikia Maria kama channel ya Taifa,yule ni sawa na MTU binafsi
Jifunze kuwa naakili basi cc tunazungumzia chombo cha taifa ww unamzungumzia MariaMbona Maria Habalance.!
Wewe zako ziko wapi.?Jifunze kuwa naakili basi cc tunazungumzia chombo cha taifa ww unamzungumzia Maria
Jitahidi bana mbona hata wajinga huwa wanajua tofauti ya chombo cha taifa na MariaWewe zako ziko wapi.?
You're the oneJitahidi bana mbona hata wajinga huwa wanajua tofauti ya chombo cha taifa na Maria