Wahariri wa TBC na Channel ten siasa bila mizania inawaharibia sifa

Channel Ten ni mali ya CCM,mwendazake aliliweka wazi japo ilikuwa ni ushamba kwa kuwa iliwaharibia upande wa viewers, TISS wengi kwa sasa ndio hupelekwa pale kama CEO-watendaji wakuu, wana-shuttle serikalini na channel ten
 
Jifunze kuwa naakili basi cc tunazungumzia chombo cha taifa ww unamzungumzia Maria
Huyo vipi,Maria ni nani miongoni mwa vyombo vya habari hapa nchini?
 
Waliopo Burundi watuambie vipi Tibisii inaonekana huko!! Na kama inaonekana kwa nini imewafuata na wakati wao ni warundi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…