Wahasibu na Kibarua TPA kizimbani kwa kuisababishia TPA hasara ya mil 600

Wahasibu na Kibarua TPA kizimbani kwa kuisababishia TPA hasara ya mil 600

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
WAHASIBU NA KIBARUA TPA, KIZIMBANI
WAHASIBU wanne wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na Kibarua mmoja, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye shtaka moja la kuisababishia Bandari hasara ya zaidi ya Sh. Milioni 600. https://t.co/NPCXVX7TaP
IMG_20211215_172114.jpg
 
Hii habari ni yakweli?namwona babangu wa ubatizo hapo Mungu wangu
 
Ml inawahusu sema wapo awamu laini laini plea bargain fasta wale 10 wa Mwanza TPA mwaka jana ishu yao imepotea au bado wapo stop ya serikali?
 
Back
Top Bottom