FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Wote wana vitambi, sasa hapo hata kibarua huwezi mtofautisha na wengineWAHASIBU NA KIBARUA TPA, KIZIMBANI
WAHASIBU wanne wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na Kibarua mmoja, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye shtaka moja la kuisababishia Bandari hasara ya zaidi ya Sh. Milioni 600. https://t.co/NPCXVX7TaP
View attachment 2045178
Babako wa ubatizo ni mwizi, tuko naye tumemdaka!Hii habari ni yakweli?namwona babangu wa ubatizo hapo Mungu wangu
Mipaka ya kupiga picha na kurekodi kwa vifaa vya kielektroniki mashauri ya mahakamani ikoje?WAHASIBU NA KIBARUA TPA, KIZIMBANI
WAHASIBU wanne wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na Kibarua mmoja, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye shtaka moja la kuisababishia Bandari hasara ya zaidi ya Sh. Milioni 600. https://t.co/NPCXVX7TaP
View attachment 2045178
Mpaka kibarua ana kitambiJamaa wanavitambi vikubwa sana
Hii nchi ukipata upenyo we piga tuMpaka kibarua ana kitambi