wahaya bhana,,

wahaya bhana,,

CTX

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2015
Posts
1,273
Reaction score
985
22490130_1941326362804401_691318566246326302_n.jpg
 
Kuna mzee wa ki-Haya tulikutana huko madarasani aliniambia kijijini kwao wakisema waliosoma wasimame yeye hawezi kusimama. Aliyesoma kwao inamaana ana PhD.
 
  • Thanks
Reactions: CTX
Nimekaa nao kweli wingi ni wasomi lakini hiyo misifa ni noma. Unaweza kukuta mtu ametulia na ana PHD lakini katulia huwezi hata kujua. Kweli Kagera ni noma nawavulia kofia, sifa ipo kwenye damu
 
Back
Top Bottom