Nimejisikia kuja tu japo mimi sio mhayaWahaya mkuje mnaitwa huku
hahahhahhhahah this truth made my dayMchaga hata akiwa meneja wa benki ukimuuliza,mr Njau unafanya kazi gani atakujibu"nafanya kibarua pale nmb.
sasa kutana na mhaya anayefanya kazi kwenye mashine ya kusaga mahindi,halafu muulize mr Mutashobya unafanya kazi gani utasikia
"Olaitaa olaitaa olaitaa asante mabibi na mabwana ni mimi mr Mutashobya meneja mkuu kwenye kampuni ya monocotyledoni finalizing company yenye makao makuu nchini marekani nilienda uko nikiwa na ferari mpya kabisa bilion tatu ikiwa imejaa mafuta nilimwona Trump na yule kijana wa nyumbani mr Obama.....
Naona umechukua meseji za mitandaon na kuufanya uzi wa JF, nadhan ukimaliza hapo unaanza kuponda CCM na kusema vyuma vinajikazaMchaga hata akiwa meneja wa benki ukimuuliza,mr Njau unafanya kazi gani atakujibu"nafanya kibarua pale nmb.
sasa kutana na mhaya anayefanya kazi kwenye mashine ya kusaga mahindi,halafu muulize mr Mutashobya unafanya kazi gani utasikia
"Olaitaa olaitaa olaitaa asante mabibi na mabwana ni mimi mr Mutashobya meneja mkuu kwenye kampuni ya monocotyledoni finalizing company yenye makao makuu nchini marekani nilienda uko nikiwa na ferari mpya kabisa bilion tatu ikiwa imejaa mafuta nilimwona Trump na yule kijana wa nyumbani mr Obama.....
Mchaga hata akiwa meneja wa benki ukimuuliza,mr Njau unafanya kazi gani atakujibu"nafanya kibarua pale nmb.
sasa kutana na mhaya anayefanya kazi kwenye mashine ya kusaga mahindi,halafu muulize mr Mutashobya unafanya kazi gani utasikia
"Olaitaa olaitaa olaitaa asante mabibi na mabwana ni mimi mr Mutashobya meneja mkuu kwenye kampuni ya monocotyledoni finalizing company yenye makao makuu nchini marekani nilienda uko nikiwa na ferari mpya kabisa bilion tatu ikiwa imejaa mafuta nilimwona Trump na yule kijana wa nyumbani mr Obama.....
Sasa umekuja kufanya nn etiNimejisikia kuja tu japo mimi sio mhaya
TushafikaaaWahaya mkuje mnaitwa huku
Si nikuone tu mtoto mzuriSasa umekuja kufanya nn eti
Tushafikaaa
We mkaka na uzee huu naanzaje kuwa mtoto mzuriSi nikuone tu mtoto mzuri
Wa kuandikishwa...Khaaa toka lini babu umekuwa muhaya
Kuna mama mmoja wa kihaya alituuzia kiwanja Tabata sasa wakati tunaenda kuuangalia uwanja simu akapokea mtoto wake..I say alicho kuwa anatujibu was so irrelevant na shida yetu.Mchaga hata akiwa meneja wa benki ukimuuliza,mr Njau unafanya kazi gani atakujibu"nafanya kibarua pale nmb.
sasa kutana na mhaya anayefanya kazi kwenye mashine ya kusaga mahindi,halafu muulize mr Mutashobya unafanya kazi gani utasikia
"Olaitaa olaitaa olaitaa asante mabibi na mabwana ni mimi mr Mutashobya meneja mkuu kwenye kampuni ya monocotyledoni finalizing company yenye makao makuu nchini marekani nilienda uko nikiwa na ferari mpya kabisa bilion tatu ikiwa imejaa mafuta nilimwona Trump na yule kijana wa nyumbani mr Obama.....