M malembeka18 JF-Expert Member Joined Jan 26, 2018 Posts 3,266 Reaction score 3,698 Jul 19, 2024 #1 Wakuu je nikweli wahaya wanajua dawa za magonjwa ya moyo
Dr Matola PhD JF-Expert Member Joined Oct 18, 2010 Posts 60,050 Reaction score 104,466 Jul 19, 2024 #2 malembeka18 said: Wakuu je nikweli wahaya wanajua dawa za magonjwa ya moyo Click to expand... Wahaya wanajuwa sana dawa ( siyo wote lakini) mpaka wana ARV za kihaya mtu mwenye ukimwi anarudi mpya.
malembeka18 said: Wakuu je nikweli wahaya wanajua dawa za magonjwa ya moyo Click to expand... Wahaya wanajuwa sana dawa ( siyo wote lakini) mpaka wana ARV za kihaya mtu mwenye ukimwi anarudi mpya.
M malembeka18 JF-Expert Member Joined Jan 26, 2018 Posts 3,266 Reaction score 3,698 Jul 19, 2024 Thread starter #3 Dr Matola PhD said: Wahaya wanajuwa sana dawa ( siyo wote lakini) mpaka wana ARV za kihaya mtu mwenye ukimwi anarudi mpya. Click to expand... Ha ha ha ha acha bas mkuu arc tena
Dr Matola PhD said: Wahaya wanajuwa sana dawa ( siyo wote lakini) mpaka wana ARV za kihaya mtu mwenye ukimwi anarudi mpya. Click to expand... Ha ha ha ha acha bas mkuu arc tena
M Msumb JF-Expert Member Joined Oct 18, 2022 Posts 3,452 Reaction score 5,372 Jul 19, 2024 #4 Dr Matola PhD said: Wahaya wanajuwa sana dawa ( siyo wote lakini) mpaka wana ARV za kihaya mtu mwenye ukimwi anarudi mpya. Click to expand... Aisee
Dr Matola PhD said: Wahaya wanajuwa sana dawa ( siyo wote lakini) mpaka wana ARV za kihaya mtu mwenye ukimwi anarudi mpya. Click to expand... Aisee
MENEMENE TEKERI NA PERESI JF-Expert Member Joined Mar 11, 2022 Posts 5,392 Reaction score 14,646 Jul 19, 2024 #5 Dawa ya malaria waniita (Mshana )inatosha Mimi kuamini usemacho wako vizuri
Iyerdoi JF-Expert Member Joined Jun 30, 2012 Posts 2,717 Reaction score 3,895 Jul 19, 2024 #6 malembeka18 said: Wakuu je nikweli wahaya wanajua dawa za magonjwa ya moyo Click to expand... Hata dawa ya pressure inapatikana kwao wanaiita Entula hii hapa👇hivo vimatunda vyake ndo dawa. Ni mti jamii ya Solanaceae.
malembeka18 said: Wakuu je nikweli wahaya wanajua dawa za magonjwa ya moyo Click to expand... Hata dawa ya pressure inapatikana kwao wanaiita Entula hii hapa👇hivo vimatunda vyake ndo dawa. Ni mti jamii ya Solanaceae.