Wahaya na Wachaga bana

Na wasukuma kwa sifa namba ngapi?

Mkuu mimi nimetokea usukumani lkn sikufichi, wasukuma tumeharibika mno, na sio wale wazamani walikuwa wakarimu. Kwa sasa Wengiwao wamekuwa na roho mbaya ,wakatili na ukimkosea kidogo tu anachukua jukum la kukuuwa,hatari kweli kweli hawa watu.
 
Kweli haisee mimi mwenyewe nilienda kukodi jaruba ili nilime mpunga wakanifanyia umafia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…