Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanashukia stand ipi na kule hakuna stendi ya Mabus? Au Airport?Wasomi na wafanyabiashara wakubwa toka kabila la Wahaya wameanza utamaduni wa kurejea nyumbani Bukoba kama wanavyofanya Wachaga. Wengi wanatokea nje ya nchi (New York, Washington DC, Geneva, Paris, London, Sydney, Stockholm, Copenhagen) na hapa nchini wengi wanaishi Jijini Dar es Salaam, Dodoma. Asanteni.
Utamaduni miaka ya nyuma ulikuwepo sana kwa wanyaki kurudi makwao hasa kipindi cha x-mass sijui kitu gani kiliwabadilisha!Wanyakyusa tuamke. Tupunguze sifa za.kipuuz
Kina chief godloveWanyakyusa tuamke. Tupunguze sifa za.kipuuz
Katika watu wasiojielewa, wahaya wanaongoza.Nauliza kulikuwa na umuhimu wa kutaja hayo majiji?
'Nshomile' bwana.
Makosa ya ki uandishi mkuu niwie radhi.... Nilidhamiria kuandika WachaggaWachanga ndio watu gani?
Una sifa sana wewe..... Kunguru ni akina nani hao?msiwe mnapenda kushindanisha wachaga na kunguru
Wahaya hawajaanza leo, miaka yote wahaya msimu wa sikukuu hurudi nyumbani japo si wote kwa sababu za kiuchumi. Wahaya wengi pia hupendelea kuzikwa makwao kama wafanyavyo wachaga