Wahaya nao wameanza kurudi nyumbani Krismasi

Wahaya nao wameanza kurudi nyumbani Krismasi

Wahay ni kawaida na ndio abiria wakubwa uwanja wa ndege wa Bukoba .


Sema wahay ni kama sisi wengine unaweza kujenga na kuzikwa popote pale.Wachaga ndio wanarudishwa kwao kwa lazima.
 
Nikiskia wahaya akil yangu inaenda uwanja wa fisi
 
Wasomi na wafanyabiashara wakubwa toka kabila la Wahaya wameanza utamaduni wa kurejea nyumbani Bukoba kama wanavyofanya Wachaga. Wengi wanatokea nje ya nchi (New York, Washington DC, Geneva, Paris, London, Sydney, Stockholm, Copenhagen) na hapa nchini wengi wanaishi Jijini Dar es Salaam, Dodoma. Asanteni.
Wanashukia stand ipi na kule hakuna stendi ya Mabus? Au Airport?
 
Back
Top Bottom