BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Habari wana jukwaa.
Kama kawaida ni jumapili tulivu nimepumzika naangalia Tv naona kuna tukio linaendelea Ikulu la mabalozi wa Marekani na Vietnam wanajitambulisha.
Sasa katika kujua hili na hili kuhusu hili tukio na uhusiano wa Tanzania na mataifa hayo mawili naona mtangazaji Emmanuel Buhohela anamuhoji balozi Wilson Masilingi.
Mzee ana mbwembwe nyingi sana na ananiacha hoi anavotumia neno Korobao aki refer Barakoa.Kinacho nichosha kuhusu huyu muhaya ni pale akirekebishwa na mwandishi kuwa sio Korobao ni barakoa yeye anajitetea kuwa asamehewe maana yeye amezoea sana lugha za kimataifa.
Sasa jamani ni lugha gani ya kimataifa ukiizoea barakoa unaiita korobao maana lugha ya kimataifa wengi tunayoitumia na kuizoea ni kiingereza ambacho kwao barakoa ni mask. Nashindwa kuelewa kwanini asikubali kwamba hawezi kulitamka neno husika kwa ufasaha kuliko kutuzuga.
Wahaya punguzeni mikwara
Kama kawaida ni jumapili tulivu nimepumzika naangalia Tv naona kuna tukio linaendelea Ikulu la mabalozi wa Marekani na Vietnam wanajitambulisha.
Sasa katika kujua hili na hili kuhusu hili tukio na uhusiano wa Tanzania na mataifa hayo mawili naona mtangazaji Emmanuel Buhohela anamuhoji balozi Wilson Masilingi.
Mzee ana mbwembwe nyingi sana na ananiacha hoi anavotumia neno Korobao aki refer Barakoa.Kinacho nichosha kuhusu huyu muhaya ni pale akirekebishwa na mwandishi kuwa sio Korobao ni barakoa yeye anajitetea kuwa asamehewe maana yeye amezoea sana lugha za kimataifa.
Sasa jamani ni lugha gani ya kimataifa ukiizoea barakoa unaiita korobao maana lugha ya kimataifa wengi tunayoitumia na kuizoea ni kiingereza ambacho kwao barakoa ni mask. Nashindwa kuelewa kwanini asikubali kwamba hawezi kulitamka neno husika kwa ufasaha kuliko kutuzuga.
Wahaya punguzeni mikwara