Wahaya sio vizuri Mungu anawaona.....

Wahaya sio vizuri Mungu anawaona.....

appoh

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2013
Posts
5,262
Reaction score
2,184
MAMBO YA WANASHERIA:
Baada ya kumaliza Degree yake ya Sheria, Bwana Rwegashora aliamua
kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufung ua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja.

Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake, alimwona dada mmoja mtanashati
na mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi
Ndipo akanyanyua mkoni wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizungusha kwenye kiti cha kuzunguka.

Wakati dada alipokaribia, Rwegashora alimkaribisha kwa ishara maana
alijifanya yupo busy na kuongea na simu muhimu.
Wakati anaongea na simu, alisikika akisema: No, No, No ..., absolutely No.
Wajulishe hao lay persons wa New York kuwa siwezi kushughulikia kesi ambayo itanilipa chini ya Shs 50 million. Mimi ni profesional lawyer and I'm crossing the border to serve international community.

Aka-pose kidogo na akanywa maji, kisha akaendelea.....
Naweza kuanza kukusanya primary evidence next week, but tell them watume kwanza ten million kwa kuanzia...

Hahahahaha you don't know my Account Number, Mr Roger? Ok, waambie watume kwenye Account ile ile waliyonitumia million 100 last month...
Aka-pose tena akimeza fundo la maji na kurekebisha tai yake, kisha akaendelea...Ok usisahau kumueleza Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Marekani kuwa nitakuja New York mwezi ujao, maana nitapita kwanza Amsterdam kuwasilisha utetezi wa yule mteja wangu Mholanzi, kisha nitaenda Tokyo kulipia ile gari yangu niloagiza

Wakati anaongea hayo yote, yule dada alikuwa ametulia na anamwangalia Bwana Rwegashora anavyojizungusha kwenye kiti chake na kujinasibu huku akiongea kwa tambo kwenye ile simu ya TTCL.

Baada ya kumaliza kuongea na simu Bwana Rwegashora aliweka mkono wa simu ya TTCL chini, kisha akamgeukia dada mrembo. Samahan sana kwa kukupotezea muda wako unajua tena kazi zetu zinaumiza kichwa sana, kama unavyoona mwenyewe yaani niko busy sana, ninapokea simu nyingi sana mpaka nimechoka. Simu nyingi ni za wateja wa nje ya nchi.
Anyway nikusaidie nini?

Mdada akajibu mimi ni mfanyakazi wa kampuni ya TTCL nimekuja kuunganisha line yako ya simu kwani haipo hewani tangu wiki iliyopita. ahahaha najua utatamani kuiona sura
ya Bwana Rwegashora ilikuaje.
 
Rwegashora anatubia Wireless from Dubai Bwana...
 
  • Thanks
Reactions: MC7
MAMBO YA WANASHERIA:
Baada ya kumaliza Degree yake ya Sheria, Bwana Rwegashora aliamua
kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufung ua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja.
Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake, alimwona dada mmoja mtanashati
na mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi
Ndipo akanyanyua mkoni wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizungusha kwenye kiti cha kuzunguka.
Wakati dada alipokaribia, Rwegashora alimkaribisha kwa ishara maana
alijifanya yupo busy na kuongea na simu muhimu.
Wakati anaongea na simu, alisikika akisema: No, No, No ..., absolutely No.
Wajulishe hao lay persons wa New York kuwa siwezi kushughulikia kesi ambayo
itanilipa chini ya Shs 50 million. Mimi ni profesional lawyer and I'm crossing the border to serve international community.
Aka-pose kidogo na akanywa maji, kisha akaendelea.....
Naweza kuanza kukusanya primary evidence next week, but tell them watume kwanza ten million kwa kuanzia...
Hahahahaha you don't know my Account Number, Mr Roger? Ok, waambie watume kwenye Account ile ile waliyonitumia million 100 last month...
Aka-pose tena akimeza fundo la maji na kurekebisha tai yake, kisha akaendelea...
Ok usisahau kumueleza Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Marekani kuwa nitakuja New York mwezi ujao, maana nitapita kwanza Amsterdam kuwasilisha utetezi wa yule mteja wangu Mholanzi, kisha nitaenda Tokyo kulipia ile gari yangu niloagiza
Wakati anaongea hayo yote, yule dada alikuwa ametulia na anamwangalia Bwana
Rwegashora anavyojizungusha kwenye
kiti chake na kujinasibu huku akiongea kwa tambo kwenye ile simu ya TTCL.
Baada ya kumaliza kuongea na simu Bwana Rwegashora aliweka mkono wa simu ya TTCL chini, kisha akamgeukia dada mrembo.
Samahan sana kwa kukupotezea muda
wako unajua tena kazi zetu zinaumiza kichwa sana, kama unavyoona mwenyewe yaani niko busy sana, ninapokea simu nyingi sana mpaka nimechoka. Simu nyingi ni za wateja wa nje ya nchi.
Anyway nikusaidie nini?
Mdada akajibu mimi ni mfanyakazi wa kampuni ya TTCL nimekuja kuunganisha line yako ya simu kwani haipo hewani tangu wiki iliyopita. ahahaha najua utatamani kuiona sura
ya Bwana Rwegashora ilikuaje.



Wahaya ni wajanja - hao itakuwa alimwambia kuwa hata yeye hakujua kuwa imekatika na haiko hewani - maana huwa ina back-up na kuunga moja kwa moja kwenye satellite (inakuwa SATPHONE) mara moja ikiwa TTCL line imekatika.
 
MAMBO YA WANASHERIA:
Baada ya kumaliza Degree yake ya Sheria, Bwana Rwegashora aliamua
kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufung ua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja.
Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake, alimwona dada mmoja mtanashati
na mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi
Ndipo akanyanyua mkoni wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizungusha kwenye kiti cha kuzunguka.
Wakati dada alipokaribia, Rwegashora alimkaribisha kwa ishara maana
alijifanya yupo busy na kuongea na simu muhimu.
Wakati anaongea na simu, alisikika akisema: No, No, No ..., absolutely No.
Wajulishe hao lay persons wa New York kuwa siwezi kushughulikia kesi ambayo
itanilipa chini ya Shs 50 million. Mimi ni profesional lawyer and I'm crossing the border to serve international community.
Aka-pose kidogo na akanywa maji, kisha akaendelea.....
Naweza kuanza kukusanya primary evidence next week, but tell them watume kwanza ten million kwa kuanzia...
Hahahahaha you don't know my Account Number, Mr Roger? Ok, waambie watume kwenye Account ile ile waliyonitumia million 100 last month...
Aka-pose tena akimeza fundo la maji na kurekebisha tai yake, kisha akaendelea...
Ok usisahau kumueleza Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Marekani kuwa nitakuja New York mwezi ujao, maana nitapita kwanza Amsterdam kuwasilisha utetezi wa yule mteja wangu Mholanzi, kisha nitaenda Tokyo kulipia ile gari yangu niloagiza
Wakati anaongea hayo yote, yule dada alikuwa ametulia na anamwangalia Bwana
Rwegashora anavyojizungusha kwenye
kiti chake na kujinasibu huku akiongea kwa tambo kwenye ile simu ya TTCL.
Baada ya kumaliza kuongea na simu Bwana Rwegashora aliweka mkono wa simu ya TTCL chini, kisha akamgeukia dada mrembo.
Samahan sana kwa kukupotezea muda
wako unajua tena kazi zetu zinaumiza kichwa sana, kama unavyoona mwenyewe yaani niko busy sana, ninapokea simu nyingi sana mpaka nimechoka. Simu nyingi ni za wateja wa nje ya nchi.
Anyway nikusaidie nini?
Mdada akajibu mimi ni mfanyakazi wa kampuni ya TTCL nimekuja kuunganisha line yako ya simu kwani haipo hewani tangu wiki iliyopita. ahahaha najua utatamani kuiona sura
ya Bwana Rwegashora ilikuaje.
Du bahaya bana wanasifa????
 
Nakumbuka Mwaka fulani nilikwenda hoteli fulani kulikuwa na rafiki zangu wamefikia hapo sasa wakati napandisha ngazi nikawa napishana na jamaa mmoja kuniona akaanza kuimbisha Mimi naendelea na safari yangu jamaa akasema unayajua yale mabasi ya XX nikageuka nikamwambia ndio (yale mabasi ya wajomba zangu), hivyo nikahisi labda kuna tatizo na hiyo hoteli huwa wanafikia. Jamaa akaniambia "Mimi ndiye mwenye hayo mabasi" nikamwambia sawa nikaendelea na zangu. Nimekaa huko juu naondoka sasa nipo nje kabisa nakutakuna na jamaa kasimama na mjomba, mjomba aliniita "we njoo, umefuata nini huku?" Nikamjibu nimefuata rafiki zangu, nikaagana na mjomba nikaondoka, jamaa hakuniangalia wala kumisemesha hadi napotea eneo hilo, nashangaa sana hivi kwa nini watu wanapenda kujifaharisha kwa vitu wasivyokuwa navyo? Na hili mkuu si kwa Wahaya peke yao wengi wana hiyo Tabia japo labda wao wamezidi kidogo
 
Nakumbuka Mwaka fulani nilikwenda hoteli fulani kulikuwa na rafiki zangu wamefikia hapo sasa wakati napandisha ngazi nikawa napishana na jamaa mmoja kuniona akaanza kuimbisha Mimi naendelea na safari yangu jamaa akasema unayajua yale mabasi ya XX nikageuka nikamwambia ndio (yale mabasi ya wajomba zangu), hivyo nikahisi labda kuna tatizo na hiyo hoteli huwa wanafikia. Jamaa akaniambia "Mimi ndiye mwenye hayo mabasi" nikamwambia sawa nikaendelea na zangu. Nimekaa huko juu naondoka sasa nipo nje kabisa nakutakuna na jamaa kasimama na mjomba, mjomba aliniita "we njoo, umefuata nini huku?" Nikamjibu nimefuata rafiki zangu, nikaagana na mjomba nikaondoka, jamaa hakuniangalia wala kumisemesha hadi napotea eneo hilo, nashangaa sana hivi kwa nini watu wanapenda kujifaharisha kwa vitu wasivyokuwa navyo? Na hili mkuu si kwa Wahaya peke yao wengi wana hiyo Tabia japo labda wao wamezidi kidogo
Dah! Somo la mwandiko ulifeli binti
 
MAMBO YA WANASHERIA:
Baada ya kumaliza Degree yake ya Sheria, Bwana Rwegashora aliamua
kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufung ua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja.

Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake, alimwona dada mmoja mtanashati
na mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi
Ndipo akanyanyua mkoni wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizungusha kwenye kiti cha kuzunguka.

Wakati dada alipokaribia, Rwegashora alimkaribisha kwa ishara maana
alijifanya yupo busy na kuongea na simu muhimu.
Wakati anaongea na simu, alisikika akisema: No, No, No ..., absolutely No.
Wajulishe hao lay persons wa New York kuwa siwezi kushughulikia kesi ambayo itanilipa chini ya Shs 50 million. Mimi ni profesional lawyer and I'm crossing the border to serve international community.

Aka-pose kidogo na akanywa maji, kisha akaendelea.....
Naweza kuanza kukusanya primary evidence next week, but tell them watume kwanza ten million kwa kuanzia...

Hahahahaha you don't know my Account Number, Mr Roger? Ok, waambie watume kwenye Account ile ile waliyonitumia million 100 last month...
Aka-pose tena akimeza fundo la maji na kurekebisha tai yake, kisha akaendelea...Ok usisahau kumueleza Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Marekani kuwa nitakuja New York mwezi ujao, maana nitapita kwanza Amsterdam kuwasilisha utetezi wa yule mteja wangu Mholanzi, kisha nitaenda Tokyo kulipia ile gari yangu niloagiza

Wakati anaongea hayo yote, yule dada alikuwa ametulia na anamwangalia Bwana Rwegashora anavyojizungusha kwenye kiti chake na kujinasibu huku akiongea kwa tambo kwenye ile simu ya TTCL.

Baada ya kumaliza kuongea na simu Bwana Rwegashora aliweka mkono wa simu ya TTCL chini, kisha akamgeukia dada mrembo. Samahan sana kwa kukupotezea muda wako unajua tena kazi zetu zinaumiza kichwa sana, kama unavyoona mwenyewe yaani niko busy sana, ninapokea simu nyingi sana mpaka nimechoka. Simu nyingi ni za wateja wa nje ya nchi.
Anyway nikusaidie nini?

Mdada akajibu mimi ni mfanyakazi wa kampuni ya TTCL nimekuja kuunganisha line yako ya simu kwani haipo hewani tangu wiki iliyopita. ahahaha najua utatamani kuiona sura
ya Bwana Rwegashora ilikuaje.
Kama Rwegoshora alikuwa mweusi lazima alibadilika kuwa bluu, na kama alikuwa maji-kunde alibadilika kuwa mwekundu na muda wote baada ya dada kujieleza hakuthubutu kumtazama yule dada usoni!
 
Back
Top Bottom