Wahaya wote inawahusu!!!

Kama ni kweli mtu ambaye ana Elimu ya University level na mawazo yake bado ni mgando kwa viwango hivi basi kazi ipo kuifikia Tanzania tuitakayo, maana Taifa limeaccomodate kila aina ya mazuzu.

Kama wewe
 
Iv ww ukiish osterbay ukifa Huoz!mbona hoja za kitoto!
 
Wabongo bana,basi kajamaa kanavotaja hyo fuculty yake utazania kakigraduate katakua na uwezo wa kucreat hata saa.2naishiaga kufanya wiring kwenye viwanda na majumba ya watu.cku mkiweza hata kutengeneza cm zenu itakua balaa,cjui zatakua katerelo mobiles?cjui.
 

ndugu yangu wewe ni wa kiume au wa kike?? maana napata wasiwasi kidogo.... anyway lakinni , lets end this thng.. am ur bro coz nimekutangulia kishule.. ila achana na hayo mambo ya uhaya na ukabila.. ni ushamba tu , watu wa UDSM hatupo hivyo ndugu yangu.... UDSM is the home of intellectuals ,,, so yu have to change.........................................
 
Jamaa wenge sana, na si ajabu ndo mara yake ya kwanza kufika DSM....Atakuwa kapata Zoom Polytechnic au eagle wing ya kariakoo


 

Pamoja sana kaka. Mimi sio mkabila, infact ni mpenda haki kwa wote na kwa makabila yote. Ila nilitaka kuanza na nyumbani then ninge extend kwingine.
Tufanye kazi kwa bidii, mimi sijafika nilipo kwa miujiza na wala sitalajii kufaulu kwa miujiza. Naelewa niendako ni kugumu na kunaitaji umakini wa hali ya juu.
I'll do my best and God will do the rest.
 

mkuu umefanya nimecheka sana hapo kwenye red
 
Wewe uliyeanzisha hii mada sio mhaya,una malengo yako binafsi kutaka kuwaharibia wahaya! ushindwe kwa jina la bwana!
 

as charity begins at home xo should development begin at home(buhaya)
 
mbona wachaga hatuongei wakati tuna elimu tuna hela tofauti na nyie wahaya masifa tu yani mhaya yupo tayari awe bosi alipwe elfu 20 lakini mchaga atakuwa mlinzi lakini alipwe milioni

wachaga ndo wana ukabila wa kutisha! Hamuongei lakini mnaiba mpaka fedha za mama ntilie! Kimara na mbezi hakukaliki sababu ya wizi na mauaji ya wachaga
 

Yaani nimecheka hadi machozi. JAMANI HATUKO KIIHIVYO. Umezidisha chumvi i see.
Lakini asante umeniongezea siku.
 
Hello ukabira noma! Lakini wana jf kumbuka kuwa watu wengine wanapenda kuwaona wenzao wakigombana kama mtu aliyeweka hii post ni analeta utani au anamaanisha anachosema aende jukwaa la gossips/jokes ahachie jukwaa letu tupeane mambo ya HESLB. Nawasilisha
 
Hello ukabira noma! Lakini wana jf kumbuka kuwa watu wengine wanapenda kuwaona wenzao wakigombana kama mtu aliyeweka hii post analeta utani au anamaanisha anachosema aende jukwaa la gossips/jokes ahachie jukwaa letu tupeane mambo ya HESLB. Nawasilisha
 
Asante kwa ushauri wako. Hapa sijaonesha ukabila wowote, linapokuja suala la kijamii kama hili lazimi tuwajibike kwa nafsi zetu.
Nimechaguliwa Bsc. Electrical Engineering, UDSM.
we kweli mhaya hiyo course yako inatuhusu nini?
 
we mshamba kweli hii nyumba mmpanga ,anakaaa jamaa mmoja mhaya wa tra domestic revenue ndo kawajaza wadogo zake kutoka bukoba ,then mm nawafahamu wote mnapiga sana misele na subaru ya kaka jijini
 
Guec Wahaya wameshakuharibu sana kwenye 0713 yako. Ndo maana unashupalia circumcition kwa wahaya. Vipi bdo unaweza tembea frsh au umepinda mgongo.

Bwenga upoooo!

Mi nilikuwa nakutania lkn sasa acha nikuchane live. Hiyo tabia yako ya kike. Ku-display mali za kakaako na kujifanya wewe ndio mwenye nyumba ni ujuha. Hakuna mtu aliyetaka kujua umechaguliwa wapi na kwa kozi gani. Hayo mambo ni ya kufanyia kijijini kwenu bwanjai na sio town, hapa unaonekana mshamba tu.

Halafu tuondolee bendera yetu kwenye avatar yako.

Mngekuwa wanaume kweli si mngeungana 1977 wakati Iddi Amini Dada anawaoa kwenye migomba wake kwa waume. Lkn pale mlifyata mpk Nyerere alipoona mmeolewa vya kutosha ndio akaagiza Wa-mume wa kazi kutoka Mara tukaja kuwakomboa. Na ndio maana mpk leo tukioa kwenu hatutoi mahari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…