kwa masifa haya, kweli wewe ni mhaya...ajabu yake sasa huna hata kitu unatembelea ndala tu hapo, mawazo yako yote yapo chini kuwaza wanawake wakati huohuo hujakata govi, kati ya makabila ya kutojisifia ni kabila la wahaya, ndo maana kama wewe mhaya bora ukifika mbele za watu ujitambulishe kama wewe ni mtz tu na si mhaya specifikally, ....lakini tusipoteze muda na huyu kinyangarika, yeye ndo anaanza mwaka wa kwanza chuo kikuu, ....na ndo anaanza kuwaza leo, siku zote alikuwa amelala na hajui kinachoendelea katika karne hii ya 21....sisi wengine huko kwenye vyuo tulishaacha miaka mingi sana na tuna watoto kama yeye...unahitaji maombi na msaada mkubwa sana.
uhayani nimeishi, na juzi nilipita kule kikazi, bora hata umasaini, unakuta mtu amechokaaa kavaa suti na kandambili lakini kiburi sasaaaa, anajiona yeye emetoka new york leo...hahaha. sifuri hizi bwana bora hata ya oooooo, kwa ukabila huu nakutabiria sup nyingi sana chuo, na utatoka na failure mbaya sana, ila nakuombe usidisco kwasababu pamoja na weuzi na govi lako hilo ndo na madem utakosa wote na utakufa kwa presha.