Wahenga, Kuongea bure baada ya dakika ya 3 :Tigo, My number 1: Vodacom

Wahenga, Kuongea bure baada ya dakika ya 3 :Tigo, My number 1: Vodacom

Maleven

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2019
Posts
689
Reaction score
3,373
Kama ulitumia hizi huduma nadhani sasa uko kwenye ndoa au unawatoto

Kwakweli Tigo na Vodacom walisaidia sana mahusiano ya watu mana hata utaratibu wa kujiunga bando haukua sawa.

Tigo unasubiri saa sita baada ya dk ya tatu, unakua unaongea bure mpanga asuburi

Vodacom: unajiunga shiling 50, unaunganisha namba moja hiyo, siku nzima unaongea bure utakavyo kwa namba hiyo moja tu utakayoichagua.

Baada ya hapo ni kubishana tu, kata wewe kata wewe.... dk za bure zinajeuri
 
😁😁😁Kuna namna na mm nimekua mtu mzima Ngoja nitulize akili!

Japo sikumbuki hlo la bando lkn tukiwa wadogo watu walikua wanakuja nyumbani asubuh wanawapigia simu ndugu zao kupitia simu ya mzee 🤣🤣mtaa mzima kulikuwa hamna simu...kama sikosei celtel
 
Back
Top Bottom