BOMBAY
JF-Expert Member
- Apr 16, 2014
- 4,732
- 3,508
Wakat wakiwa na ufinyu mdogo sana wa elimu dunia na wingi wa busara,WAHENGA hawakutaka kutuacha bila kutupatia urithi wa busara zao.
Wakaanzisha misemo(Methali) mbalimbali yenye lengo la kutuasa,tahadharisha na kutufunza kama vile "Umoja ni nguvu,kidole ki1 hakivunji chawa Nk...
Leo hii wamejitokeza vijana wanaojiita kizazi kipya(Chipsi Yai+Kuku Broiller),wamejiona wanaakili sana kwa kutuletea msemo wakijinga "Pamabana na Hali Yako".Ujinga huu..
Chipsi Yai Mungu anawaona mjue...Haswa nyie mnaioishi Dar 😡 😡
Wakaanzisha misemo(Methali) mbalimbali yenye lengo la kutuasa,tahadharisha na kutufunza kama vile "Umoja ni nguvu,kidole ki1 hakivunji chawa Nk...
Leo hii wamejitokeza vijana wanaojiita kizazi kipya(Chipsi Yai+Kuku Broiller),wamejiona wanaakili sana kwa kutuletea msemo wakijinga "Pamabana na Hali Yako".Ujinga huu..
Chipsi Yai Mungu anawaona mjue...Haswa nyie mnaioishi Dar 😡 😡