Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Mkuu. Kwa kweli uishie hapo tu.Ni kwasababu hakukua na social media, habari hazikusambaa. Unafahamu yaliyowatokea ndugu zake Oscar Kambona baada ya kaka yao kukimbilia Uingereza?
Yaliyowatokea ukoo wa Hans Pope baada ya lile jaribio kushindwa.
Ninaomba niishie hapa.
Matatizo mengi yanayotokea katika nchi za Afrika yanasababishwa na kukosa uwezo na uzoefu wa kujitawala na kujiongoza. Hizi ni athari zilizotokana na biashara ya utumwa mpaka kufikia utawala wa Kikoloni.Hivi hiyo NMC ilikuwaje ikafa sababu Naambiwa Bakhresa ndie aliinunua na yeye kawa bilionea baada ya kuinunua ilikuwaklje ife halafu Bakhresa baada ya kuchukua katajirika