Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
Wahenga mnakumbuka hivyo vitu vya enzi zile,dondosha komenti kipi umekitumia kati ya hivyo hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vote nimetumia bali mkeka mi mila na desturiMtoto hatumwi dukani😂😂😂😂
Ata mimi ila iyo mtoto hatumwi dukan ilikua ukiichezea kichapo chake utakacho pokea 😂😂🏃🏽♂️🏃🏽♂️🏃🏽♂️Vote nimetumia bali mkeka mi mila na desturi
Huu nimeweka ili nao watoto wa 2000 wasijiskie vibaya 🤭🤭🤭 wasione tumewatenga😂😂😂😂😂🏃🏽♂️🏃🏽♂️🏃🏽♂️huo mkeka sio wa plastic wa juzi juzi tu hapa?
Kwel kabisa vilikua bei mnoHuwezi ami kuna familia hata kibatari ilikua ni changamoto, moja wapo ni familia niliyo yoka mimi.
Wahenga mnakumbuka hivyo vitu vya enzi zile,dondosha komenti kipi umekitumia kati ya hivyo hapo.View attachment 3143504
Hiki chuma kina MADE IN somewhere kweli?Ndoo zilizotulea Ndoo bati kopo la bati🤣🤣🤣
Ndoo zilizotulea Ndoo bati kopo la bati🤣🤣🤣www.jamiiforums.com
View attachment 3143724
Made in PolandNdoo zilizotulea Ndoo bati kopo la bati🤣🤣🤣
Ndoo zilizotulea Ndoo bati kopo la bati🤣🤣🤣www.jamiiforums.com
View attachment 3143724
Hamna chupi ya V. I. P? Alikuwa amebakiza nayo mshikaji wangu Dr. Gill Biz, tuko Kariakoo, jua kali, joto sio kitoto., kavua shati, kumbe chupi imekatika katikati na imepanda hadi kifuani.Wahenga mnakumbuka hivyo vitu vya enzi zile,dondosha komenti kipi umekitumia kati ya hivyo hapo.View attachment 3143504
JerumanHiki chuma kina MADE IN somewhere kweli?
Ange mwambia ili gagulo😂😂😂Akatokea demu anaitwa Lilian Mwaigomole, akatusalimia kwa bashasha, halafu akamuuliza mshikali, hiki nini?
Kumbe ni pishi la mjarumaniJeruman