JEKI JF-Expert Member Joined Aug 16, 2013 Posts 4,845 Reaction score 2,957 Jan 8, 2018 Thread starter #21 Ukoko wa juu ulikuwa mtamu balaa, mnaanza nao kupasha kabla ya mechi. Ila kuna watu walikuwaga hata hawatafuni aisee.
Ukoko wa juu ulikuwa mtamu balaa, mnaanza nao kupasha kabla ya mechi. Ila kuna watu walikuwaga hata hawatafuni aisee.
ipogolo JF-Expert Member Joined Aug 15, 2011 Posts 6,280 Reaction score 5,979 Jan 10, 2018 #22 Wali Kisamvu kilicholala. Pembeni kuna mbilimbi. (RIP Bi mkubwa) na pilipili mbuzi.
JEKI JF-Expert Member Joined Aug 16, 2013 Posts 4,845 Reaction score 2,957 Jan 11, 2018 Thread starter #23 ipogolo said: Wali Kisamvu kilicholala. Pembeni kuna mbilimbi. (RIP Bi mkubwa) na pilipili mbuzi. Click to expand... wali maharake uliolala ndo ilikuwa kiboko.
ipogolo said: Wali Kisamvu kilicholala. Pembeni kuna mbilimbi. (RIP Bi mkubwa) na pilipili mbuzi. Click to expand... wali maharake uliolala ndo ilikuwa kiboko.
D Metakelfin JF-Expert Member Joined Mar 23, 2017 Posts 3,399 Reaction score 3,666 Jan 11, 2018 #24 mbalizi1 said: Nilikuwa nafagilia sana nyama ya kuku hasa tetea anaetaga mafuta mafuta yale nikitoweza kajitonge ka ugali swadakta sana Click to expand... aisee nimecheka sana
mbalizi1 said: Nilikuwa nafagilia sana nyama ya kuku hasa tetea anaetaga mafuta mafuta yale nikitoweza kajitonge ka ugali swadakta sana Click to expand... aisee nimecheka sana
Red Giant JF-Expert Member Joined Mar 9, 2012 Posts 15,657 Reaction score 20,967 Jan 11, 2018 #25 Penda sana wali, hadi leo. Unaweza pita mwezi sijala ugali.