Wahenga mpooooo

Fukufuku.Sisi tuliambiwa" ukitaka bamia iwe kubwa iumishe fukufuku" Unaumisha kwenye govinda enzi hizo
Kumbe mpaka wanaume mlikuwa mnafanya huko kwenye naniliu
 
Duh!

Hivi hawang’ati hao wadudu?

Ila huo mchezo ni wa nyie millennials.

Sisi wa umri wa miaka 60 kwenda juu hatukuwa na hayo mambo.
Wanang'ata na kuvuta hiviii yaan yote ilikuwa kutafuta le super mtindiz mkubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…