teh!Post ya kipekee kabisa hii,,,,,,ngoja ni Peruzzi album yangu nijikumbushe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lengo ni kuwafikia wateja kwa haraka.Mkuu hizo sifa zote yaani umepita mule mule..
Ama kweli kila kitu na enzi zake.. kama sasa hivi watu wenye magari wanavyotesa makameramani wametunyoosha sana..
Unakuta inapigwa picha unefumba macho lakini huna namna lazima uichukue.
Kuhusu vi baskeli vile vya phoenix sijui nani aliwaambia kila cameraman awe nacho🤗😂😂😂😂
[emoji38]Mshua wangu alikuwa ana camera lakini hakuwa na sifa hizo labda kwa kuwa alikuwa anaifanya kama kazi ya ziada na sanasana alikuwa inatumika kwa matumizi ya nyumbani.
Ila kuna kipindi alishawahi kutishiwa kisu na tajiri mmoja eti kwa nini picha ya mke wake imetoka ana makengeza.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
wanaona mitaa yote ni yaoWalikuwa na jeuri sana wale pumbavu.[emoji23][emoji23][emoji23]
kumbe hata jamaa alijashughulikiaSiku za sikukuu Mkanda umeisha jamaa apiga flush tu na anapokea advance, ukifuatilia picha anakuambia zimeungua labda akurudie kukupiga picha, jamaa walitutapeli kizembe Sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
duuh!Kuna cameraman mmoja aliingia kijijini . Kapiga sana watu picha. Kachukua pesa za advance akasepa mazima kumbe alikuwa anawagonga flash tu
Sent using Jamii Forums mobile app