Wahenga tukumbushane Klorokwini na mambo yake

ulikua dawa bora kwa maralia,tulikua tunajikuna hadi ngozi inachubuka
 
mshuwa, kaka, mimi tuna matatizo ya kuckia kwa wakati flan, nadhan hiyo dawa ndio imechangia, mimi mpk ss hiv ni muoga sana wa dawa za vidonge, chanzo chake ni hizo dawa, nackia hata nguvu za kiume kwa waliomeza hizo hawajawa salama, either huzalishi au uume hausimami sawa sawa
 
Bila shaka ile dawa itakuwa mtishamba. Hivi bado zipo?
 
Hizi dawa sikuwahi kuzimeza, mama aliniambia nilikuwa siumwi umwi. Ila kaka yangu zilikuwa zinamuwasha balaa akizimeza.
 
Zilipokatazwa, baada ya miaka miwili ndio ukazaliwa mdogo wangu.
Wewe ni nanii... nafikiri ni mwaka 2000 juzi tu hapa.

baada ya klorokwini zikaja SP. Unazikumbuka?
 
Wewe ni nanii... nafikiri ni mwaka 2000 juzi tu hapa.

baada ya klorokwini zikaja SP. Unazikumbuka?
Hahahaaaa!! Kweli kabisa, na ndipo nawe ukazaliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…