Wahenga wa JamiiForums

Wewe ni mhenga lakin unayoyatoa hapa sio!
[emoji102] [emoji102] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji124] [emoji124] [emoji124]

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
[emoji102] [emoji102] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji124] [emoji124] [emoji124]

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
Mhenga!

Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
 
Arusha one

love thé love or hâte thé love.....
 
Kumbe mnafanya tu utani utani, maana MHENGA mwenyewe haswa kama mnamkwepakwepa hivi....

 
Habari wadau na mabestito

Karibuni kwenye Forum ya zilipendwa ya WAHENGA FORUM ambayo tutakuwa tukijadili na kuweka mambo yetu ya kale yaani zile thread zilizopendwa ambazo zilitamba sana enzi hizo, na tutakuwa tukifurahishana kwa kuwataja wale ambao walikuwa masupastaa wa nyakati hizo lengo hasa ni kutaka kuwapa taarifa MAKAPUKU F wa kisasa kuwa jf ina wenyewe ndo siye waanzilishi wake

Halooooohaloooo wale waliokuwa wakichat kwa takriban masaa 24 akina Viol, Asnam, miss chagga, Matola, mwinyimkuu, Khantwe , PakaJimmy , @Rutashobolwa, na wengineo wengi karibu sasa uwanja mpana ni wenu

Kwa wenzangu waliokuwa mstari wa mbele kutuletea mada za kuchangamsha na kuelimishana na kuburudisha nao ni akina Mentor , Mtambuzi , Arushaone , Watu8 (my daddy sijui kafichwa wapi), GEORGE mimi, Pascal Mayalla, (huyu kiboko wa siasa) @Clara1 (kiboko wa mada changanizi) hahahaaaaaa,
Miss Bantu (nimkoseje naye huyu), Miss Natafuta (yy upande wa mmu humkosi), jamani ni wengi na wengine nimewasahau si unajua zilipendwaaaaaa hahaaaaaaa wahenga msijekunitafuna bure hapa yeereeeuuuu nimemsahau na Madame B , oyoooo na KakaKiiza wahenga hawa wa jf, hahaaaaaaaaaaaa

Sasa nakuja kwa wachangiaji wakereketwa yaani si mchezo hawa nao ni: Passion Lady, Lady doctor (huyu alikuwa kiboko masaa 24 anachangia sijui alikuwa halali hahaaaaaa its jokes), measkron (my mumy asiyejulikana hahaaaaaa), Filipo, amu, steven Masako, (sijui sijakkosea maana muda mrefu sijamuona huyu) , AshaDii (Uuwii sijajua yuko wapi huyu madam nimekumiss kweli) mkongwe mwingine ndiye founder wetu hahaaaaaa Maxence Melo (uko wapi braza). ahahaaaa wadau nimewamiss kweli leteni vile viionjo vya kale tukumbushane vya kihenga ahaaaaaaaa

Wasalaamu
Ladyf
 
Wale makapuku wamekuwa wahenga round hii amakweli hata mbuyu ulianza kama mchicha...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…