ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,753
- 9,575
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa anzisha mwayaKumbe kuna zamadamu forum tena? Ngoja tuanzishe Olduvai forum
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa anzisha mwayaKumbe kuna zamadamu forum tena? Ngoja tuanzishe Olduvai forum
unajua huku kuna baby wangu sasa akisikia mimi muhenga ataenda kutafuta kaben tenmbona waonekana kama mhenga hahaaaaaaa
viben ten haivina maana vile vinataka kulelewa hahahaaaaaaaunajua huku kuna baby wangu sasa akisikia mimi muhenga ataenda kutafuta kaben ten
Mjapani wa kikurya.
Wanaogopa kuwa wameshakuwa wahenga
UKONGWE WA MUDA MREFU JAMVINI LABDAKwan sifa za kua legend Wa jf ni zipi?
Asante mkuu!UKONGWE WA MUDA MREFU JAMVINI LABDA
MODS HAWATOI ULEGEND MKUUAsante mkuu!
Sasa mkuu ntajuaje kama shakua legend au kuna mda ukifika mods wanakupa ulegend wenyewe?
aaaaa wapi nina dai hatari bado niko motoWanaogopa kuwa wameshakuwa wahenga
Hao ni era yetu,wewe era ya kina kongosho kuna era ya kina demiss mzigua,shunieMie mhenga, nikashtuka nikadhani hizi streets za mbinguni!
Yaani hao legends aliowataja, mie ni bibi titi nae anaongelea kina lissu