Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
- Thread starter
- #21
Umepatia haswaa [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepatia haswaa [emoji23][emoji23]
Hawa siku hizi wakibonyeza button mbili wanasinzia uhenga nao sio wa mchezohao ni wahenga haswaaaa
kaize
mentor
mko wapiii?
haahahahahahahHawa siku hizi wakibonyeza button mbili wanasinzia uhenga nao sio wa mchezo
Hivi mkuu huyo jamaa wa pili yupo wapi au ndo km akina malaria sugu ?
tutakuwa nao humu humu sema nahisi wapo kwa ID TOFAUTI unaweza kuta ndio josevarist hahahaa au wewe mwenyeweHivi mkuu huyo jamaa wa pili yupo wapi au ndo km akina malaria sugu ?
Kweli kabisaUtakuwa muhenga kama umeshuhudia awamu zote tano za uongozi wa Tz!!
Sent from my STUDIO SELFIE using JamiiForums mobile app
Wewe ni mhenga lakin unayoyatoa hapa sio![emoji102] [emoji102] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
Mimi sina neno na nyie.. ilipita roll call ya wahenga nikawawahia nafasi.Mbona umetuita wajumbe wa bodi... kuna maamuzi magumu yanahitaji saini zetu?
Sema kijukuu changu... umeniita?Kuna kibabu kinaitwa Asprin!
- KANA -
Kuna watu wanahitaji kupelekwa jando?Mimi sina neno na nyie.. ilipita roll call ya wahenga nikawawahia nafasi.
Mshana Jr ndie muhenga wa wahenga [emoji23][emoji23][emoji23]