Wahenga wa kike: Mnakumbuka nguo za redimedi, sare sare, moka bila kisahau fukufuku

Haasss. Suruali za Tokyo noma sana mkuu umenikumbusha mbali[emoji14] [emoji14]
 
Mmmh!! Miaka gani hiyo? Nadhani ilikuwa kabla ya uhuru, hata Mama yangu kbl hajazaliwa
 
Mmmh!! Miaka gani hiyo? Nadhani ilikuwa kabla ya uhuru, hata Mama yangu kbl hajazaliwa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16]poooh acha uongo
 
Geti kali sna wewe hujaona raha za dunia wengine ss watt wa kotaaa
wala hata sikuwa geti kali, mm nimezurula sana mtaani....ila hyo ya mtt wa kike kupigana aseee mara chache, ww hapa unanipa chai tu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaan umenikumbusha muhenga mie bila nguo mpya ya sikukuu sitoki mwananyamala kwetu tulikuwa tunaendaga kutembea mwinyijuma kule kuna kila aina ya michezo au disco toto villa kwa ujiji natamani kurudisha miaka nyuma
Wami bar, CCM mwinyinjuma
 
wala hata sikuwa geti kali, mm nimezurula sana mtaani....ila hyo ya mtt wa kike kupigana aseee mara chache, ww hapa unanipa chai tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahaha nakwambia mm nilikuwa nakunjana mashat na wanaumeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…