WAHENGA WAONGO

SumadaVinci

Senior Member
Joined
Dec 27, 2018
Posts
161
Reaction score
328
Sio kila wahenga wanakuaga na maneno ya ukweli ...wahenga wengine ni waongo tu

kwa mfano aliyesema

"MNYONGE MNYONGENI HAKI YAKE MPENI"


sasa mtu ushamnyonga amekufa hiyo haki yake unampaje

endeleza nawe wahenga wako waongo😅😅😅
 
Aliye juu mngoje chini , [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ili kuzielewa methali, misemo na nahau hizi za wahenga inabidi kwanza kujua muktadha halisi na mazingira katika nyanja zote za maisha yao wakati walipozitunga. Na nyingine maana yake halisi huwa imejificha sana mpaka uchimbue kwa ndani.

Na kwa vile jamii hubadilika badilika, methali, misemo na nahau hizi nazo inabidi zibadilike kuendana na mabadiliko ya jamii husika. Hata misemo na nahau zenu za sasa vijana, huko mbele ya safari pengine zitaonekana hazina maana yo yote kulingana na maisha halisi ya wakati huo.

Tafuta wazee wa Kiswahili wakueleze maana halisi ya hiyo methali "Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni" na ilitumika katika mazingira gani. Utashangaa sana!
 
Methali walitunga kutokana na mambo yatakayo wa favour wao

Wahenga wasenge sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…