SumadaVinci
Senior Member
- Dec 27, 2018
- 161
- 328
Sio kila wahenga wanakuaga na maneno ya ukweli ...wahenga wengine ni waongo tu
kwa mfano aliyesema
"MNYONGE MNYONGENI HAKI YAKE MPENI"
sasa mtu ushamnyonga amekufa hiyo haki yake unampaje
endeleza nawe wahenga wako waongo😅😅😅
kwa mfano aliyesema
"MNYONGE MNYONGENI HAKI YAKE MPENI"
sasa mtu ushamnyonga amekufa hiyo haki yake unampaje
endeleza nawe wahenga wako waongo😅😅😅