Uchaguzi 2020 Waheshimiwa Maftah Nachuma, Magdalena Sakaya na Abdul Kambaya kupeperusha bendera ya CUF Mtwara Mjini, Mbagala na Kaliua

Uchaguzi 2020 Waheshimiwa Maftah Nachuma, Magdalena Sakaya na Abdul Kambaya kupeperusha bendera ya CUF Mtwara Mjini, Mbagala na Kaliua

CUF Habari

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2019
Posts
239
Reaction score
234
#HABARI Makamu Mwenyekiti wa CUF Bara Mhe.Maftah Nachuma ameshinda kura za maoni katika Jimbo la Mtwara Mjini, Mhe. Maftah ndiyo atapeperusha bendera ya Chama cha Wananchi CUF katika Jimbo la Mtwara Mjini.

Pia, Naibu Katibu Mkuu wa CUF Bara Mhe. Magdalena Sakaya ameibuka kidedea katika mchakato wa Kura za maoni jimboni kwake KALIUA, Hivyo Mhe. Magdalena Sakaya ndiyo Mgombea wa Ubunge katika Uchaguzi mkuu wa mwaka huu jimbo la KALIUA.

Pia, Mjumbe wa Baraza Kuu la Uongozi la Taifa la Chama cha Wananchi CUF Mhe. Abdul Kambaya ameshinda kwa kishindo katika Jimbo la Mbagala. Hivyo, Mhe. Abdul Kambaya ndiyo mgombea wa Ubunge Jimbo la Mbagala kupitia Chama cha Wananchi CUF.
 
membe alitakiwa agombee ubunge jimbo la Ruangwa, bashangaa anamjaribu magufuli.
 
#HABARI Makamu Mwenyekiti wa CUF Bara Mhe.Maftah Nachuma ameshinda kura za maoni katika Jimbo la Mtwara Mjini, Mhe. Maftah ndiyo atapeperusha bendera ya Chama cha Wananchi CUF katika Jimbo la Mtwara Mjini.

Pia, Naibu Katibu Mkuu wa CUF Bara Mhe. Magdalena Sakaya ameibuka kidedea katika mchakato wa Kura za maoni jimboni kwake KALIUA, Hivyo Mhe. Magdalena Sakaya ndiyo Mgombea wa Ubunge katika Uchaguzi mkuu wa mwaka huu jimbo la KALIUA.

Pia, Mjumbe wa Baraza Kuu la Uongozi la Taifa la Chama cha Wananchi CUF Mhe. Abdul Kambaya ameshinda kwa kishindo katika Jimbo la Mbagala. Hivyo, Mhe. Abdul Kambaya ndiyo mgombea wa Ubunge Jimbo la Mbagala kupitia Chama cha Wananchi CUF.

Maneno ushindi wa kishindo ni ya kiccm, ukiona chama kingine kinayatumia ujue hilo ni tawi lake.
 
#HABARI Makamu Mwenyekiti wa CUF Bara Mhe.Maftah Nachuma ameshinda kura za maoni katika Jimbo la Mtwara Mjini, Mhe. Maftah ndiyo atapeperusha bendera ya Chama cha Wananchi CUF katika Jimbo la Mtwara Mjini.

Pia, Naibu Katibu Mkuu wa CUF Bara Mhe. Magdalena Sakaya ameibuka kidedea katika mchakato wa Kura za maoni jimboni kwake KALIUA, Hivyo Mhe. Magdalena Sakaya ndiyo Mgombea wa Ubunge katika Uchaguzi mkuu wa mwaka huu jimbo la KALIUA.

Pia, Mjumbe wa Baraza Kuu la Uongozi la Taifa la Chama cha Wananchi CUF Mhe. Abdul Kambaya ameshinda kwa kishindo katika Jimbo la Mbagala. Hivyo, Mhe. Abdul Kambaya ndiyo mgombea wa Ubunge Jimbo la Mbagala kupitia Chama cha Wananchi CUF.
ITOSHE KUSEMA 2020 HAMPATI HATA MBUNGE MMOJA.
 
Huoni hata aibu kuleta Post ya namna hii?
 
Back
Top Bottom