Plot4Sale Wahi shamba la uwekezaji Morogoro: Ekari 49 zinauzwa kwa bei poa

Plot4Sale Wahi shamba la uwekezaji Morogoro: Ekari 49 zinauzwa kwa bei poa

Ramon Abbas

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2021
Posts
1,964
Reaction score
3,913
Shamba limelimwa mara mbili ni safi

hati ipo ya kimila.

kila eka ni laki 5 na nusu

MAELEZO YA SHAMBA

wilaya ya morogoro liko mvuha njia panda kusini kwenda ngerengere chalinze Dar Masaa ma4, kushoto matombo mkuyuni morogoro masaa 2,kulia dutumi kisaki stiglas masaa 2

lina hati ya kimila limepimwa na GPS limelimwa mara 2 tu ilikua shamba pori limesafishwa kwenda mto ruvu ni kilometa 1 na nusu.

SIMU: 0683011003

FB_IMG_1628613281143.jpg
 
Shamba ni potential sana kwa kilimo cha mpunga, miwa, mahindi na mazao mengine.

kwa upande wa miwa itapendeza zaidi maana kuna kiwanda cha sukari kinaanzishwa karibuni na wanatoa subsidies wa wakulima walioko karibu
 
Back
Top Bottom