Wahindi na waarab Facebook

Wahindi na waarab Facebook

Sijatumia huu mtandao miaka mingi..basi nkapata plan ya biashara ila nkapanga nibase kotekote.. Yani physical na online
Nimeanza na instagram japo sijaweka picha.angalau followers wanakujakuja

Basi nkaona nije kuandaa wateja wengine facebook.. Nimedownload account jana nkafungua baada ya masaa machache kimya. Nlipoamua kuweka picha tu nakuta friend request 200
Sawa nkawakubalia ila shida sasa ni wahindi na waarab. Yani mda wote ni ngrrngrr utadhani nimekua customer care.. Ubaya wake wanaongelea ngono tu..
Video calls mda wote simu haizimi
Wanatuma picha za uchi kama wehu
Nkajiuliza vjpi nimeeka sura tu?
Nikimblok huyu mwingine anafuatia.. Nimeblok hadi nimechoka bado tu halafu hadi vibabu
Nikaamua nifute picha bado wanakuja
Nimeamua tu nifute akaunti
Hivi sasa napumua
Hivi kwenu wengine inakuwaga hivihivi?
Ungeweka body zima nadhani day one ungepata request 1000
 
H
Sijatumia huu mtandao miaka mingi..basi nkapata plan ya biashara ila nkapanga nibase kotekote.. Yani physical na online
Nimeanza na instagram japo sijaweka picha.angalau followers wanakujakuja

Basi nkaona nije kuandaa wateja wengine facebook.. Nimedownload account jana nkafungua baada ya masaa machache kimya. Nlipoamua kuweka picha tu nakuta friend request 200
Sawa nkawakubalia ila shida sasa ni wahindi na waarab. Yani mda wote ni ngrrngrr utadhani nimekua customer care.. Ubaya wake wanaongelea ngono tu..
Video calls mda wote simu haizimi
Wanatuma picha za uchi kama wehu
Nkajiuliza vjpi nimeeka sura tu?
Nikimblok huyu mwingine anafuatia.. Nimeblok hadi nimechoka bado tu halafu hadi vibabu
Nikaamua nifute picha bado wanakuja
Nimeamua tu nifute akaunti
Hivi sasa napumua
Hivi kwenu wengine inakuwaga hivihivi?
Hao ni kiboko wasumbufu sana
 
Weka picha uliyoweka kule fb

Sijatumia huu mtandao miaka mingi..basi nkapata plan ya biashara ila nkapanga nibase kotekote.. Yani physical na online
Nimeanza na instagram japo sijaweka picha.angalau followers wanakujakuja

Basi nkaona nije kuandaa wateja wengine facebook.. Nimedownload account jana nkafungua baada ya masaa machache kimya. Nlipoamua kuweka picha tu nakuta friend request 200
Sawa nkawakubalia ila shida sasa ni wahindi na waarab. Yani mda wote ni ngrrngrr utadhani nimekua customer care.. Ubaya wake wanaongelea ngono tu..
Video calls mda wote simu haizimi
Wanatuma picha za uchi kama wehu
Nkajiuliza vjpi nimeeka sura tu?
Nikimblok huyu mwingine anafuatia.. Nimeblok hadi nimechoka bado tu halafu hadi vibabu
Nikaamua nifute picha bado wanakuja
Nimeamua tu nifute akaunti
Hivi sasa napumua
Hivi kwenu wengine inakuwaga hivihivi?
 
Nenda kwenye vile vimstari vitatu upande wa kulia ukiminya itatokea akaunti yako nayo bonyeza zitatokea settings.. Minya kwenye account settings ndo utakitana na maelezo huko
Nisaidie na mimi namna ya kufuta account ya Fesibuku.....siihitaji kwakweli
 
Hahahaa kumbe.. Wanapata tabu sana
Izo nchi wanawake ni wachache sana na mwanaume kuwa na mwanamke bila ndoa ni kosa lajinai autakiwa mwanaume ufanye mapenzi bila ya kufunga ndoa inshort uzinzi kule ni kosa pia kumuangalia mwanamke usoni kama si mke wako ni kosa la jinai nchi kama Bangladesh,Iran,India na Saudi arabia ni bala uko na ndomana wanaume wao wana ny*ge sana unakuta mwaname ana miaka 35 ajawai kut*mb*n* ni shida uko sio kama Africa.
 
Back
Top Bottom