Inasemekana wahindi wanasaidiana sana kibiashara. Unadhani hii case study ingewahusu wahindi wangefanya vipi? Ila hapa Wanaozungumziwa ni Watanzania wenye asili ya ngozi nyesi.
Mwafrika A amepata wazo la biashara. Mtaji ni Sh. 500,000/-. Mwafrika A anazo 200,000/- tu. Tuseme mtaji hautoshi. Bidhaa inayotakiwa kuuzwa ni akili; tuseme hii ni biashara ya ujasiria akili hivi--kama vile consultancy ambayo hata hivyo itahitaji kichwa zaidi ya kimoja. Kauza wazo kwa marafiki na rafiki mmoja, Mwafrika B kasema atakubali kuchangia akili yake kama atapewa hizo 200,000/- na zingine hata akilipwa baadae ni sawa, lakini atahakikisha wazo linazaa matunda kwanza. Mwafrika A kwa kujua ujuzi wa Mwafrika B anakubali kuchukua risk. Anampa Mwafrika B 200,000/- na kazi inaanza.
Katikati ya kazi oda zimetoka na kinachotakiwa ni ufundi wa Mwafrika B ili kumonetize zile oda. Mwafrika B anaona pesa ileeeee, ishaanza kuingia. Hapa anapotea mtaani, simu za Mwafrika A anagoma kupokea.
Unadhani Wahindi wangefanyaje katika case study hii? Who is right, who is wrong, what is right, what is wrong?
Mwafrika A amepata wazo la biashara. Mtaji ni Sh. 500,000/-. Mwafrika A anazo 200,000/- tu. Tuseme mtaji hautoshi. Bidhaa inayotakiwa kuuzwa ni akili; tuseme hii ni biashara ya ujasiria akili hivi--kama vile consultancy ambayo hata hivyo itahitaji kichwa zaidi ya kimoja. Kauza wazo kwa marafiki na rafiki mmoja, Mwafrika B kasema atakubali kuchangia akili yake kama atapewa hizo 200,000/- na zingine hata akilipwa baadae ni sawa, lakini atahakikisha wazo linazaa matunda kwanza. Mwafrika A kwa kujua ujuzi wa Mwafrika B anakubali kuchukua risk. Anampa Mwafrika B 200,000/- na kazi inaanza.
Katikati ya kazi oda zimetoka na kinachotakiwa ni ufundi wa Mwafrika B ili kumonetize zile oda. Mwafrika B anaona pesa ileeeee, ishaanza kuingia. Hapa anapotea mtaani, simu za Mwafrika A anagoma kupokea.
Unadhani Wahindi wangefanyaje katika case study hii? Who is right, who is wrong, what is right, what is wrong?