mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 901
- 1,742
Nakumbuka kikao cha wadau wa mifuko mmbadala na TBS kiliingia nyongo na hakikuisha kwa amani baada ya kutokea mvutano kati ya wabongo na wahindi waliodai wao ndio wamepewa vibali kutengeneza mifuko iliyopitishwa na serikali baada ile ya awali kuzuiliwa.
Leo TBS wanakuja na kusema hataruhusiwa mtu kuingiza mifuko nchini bila ya mifuko hiyo kua na nembo ya TBS hii ni janja janja tu ya kuhakikisha wanabana ili hawa magabachori wapate bingo hilo la kutengeneza mifuko hiyo.Wote tunajua kabisa na iko wazi mifuko iliyoruhusiwa kutumika ni material ya "Non woven bags" ambayo ni rafiki kwa mazingira.
Maoni yangu kabla TFDA nao hawaingia hapo,na NEMC nao pia nafikiri serikali ingeacha watu waagize mifuko hii kwa sharti iwe ni "Non woven material" na ipo inafahamika iache hii mambo ya kupokea rushwa tena kwa wageni jamani acheni mnatunyonga wanyonge mtatuua kama mnatafuta pesa ya uchaguzi kwa mbinu hizi hapana jamani tuna hali mbaya wanyonge.
Leo TBS wanakuja na kusema hataruhusiwa mtu kuingiza mifuko nchini bila ya mifuko hiyo kua na nembo ya TBS hii ni janja janja tu ya kuhakikisha wanabana ili hawa magabachori wapate bingo hilo la kutengeneza mifuko hiyo.Wote tunajua kabisa na iko wazi mifuko iliyoruhusiwa kutumika ni material ya "Non woven bags" ambayo ni rafiki kwa mazingira.
Maoni yangu kabla TFDA nao hawaingia hapo,na NEMC nao pia nafikiri serikali ingeacha watu waagize mifuko hii kwa sharti iwe ni "Non woven material" na ipo inafahamika iache hii mambo ya kupokea rushwa tena kwa wageni jamani acheni mnatunyonga wanyonge mtatuua kama mnatafuta pesa ya uchaguzi kwa mbinu hizi hapana jamani tuna hali mbaya wanyonge.