mkulima gwakikolo
JF-Expert Member
- Nov 22, 2014
- 1,767
- 2,855
Duniani lazma kuwepo watu wenye roho mbaya sana kama hii ili ukombozi ufikiwe...Acheni hizi akili za kipumbavu na za kinafiki za kujifanya nyinyi ni sehemu ya jamii mkiwa hadharani halafu gizani mnaendekeza fitina.
Zitto Kabwe na Lissu wanakwenda kupotea kisiasa kwa sababu ya kuendekeza hulka hizi za kipumbavu. Ni hulka zisizoweza kufanikiwa hata mara moja.
Wahisani wana maslahi yao ya kiuchumi humu nchini hawawezi kuwaamini watu ambao hawana majukumu halali ya kuongoza nchi.
Hawawezi kuwaamini watu wasiokubalika mbele ya jamii ya kitanzania sana sana watawatumia tu na baadae watawapuuza mazima.
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app