Wahisani wakibana kisawasawa, mbali na Wafanyabiashara kukamuliwa, hata sitting allowance za Wabunge zinaweza kutoweka

Duniani lazma kuwepo watu wenye roho mbaya sana kama hii ili ukombozi ufikiwe...

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Itabidi safari hii nchi iendeshwe kijambazi na kidukuzi kama North Korea maan a hamna jinsi
 
Mnakoekea ni kwenda kwa waganga ili mroge bunge lijae upupu kwenye viti ili wabunge wasiwe wanakaa. Kwani ilikuwa lazima watanzania tuchague Ccm? Bajeti ya 2019- 2020 wahisani walichangia % ngapi? Acha kuwa na fikra potofu.
 
Nchi hii tajiri,hakuna haja ya kubana,kwanza wazungu wanatuogopa sana,hawawezi kubana chochote,,
 
Haya pia tuyaongee miaka mitatu baadae. Tanzania is very unique. Msichanganye Tanzania na mauzauza mengine
 
Aah wapi, tutakuwa masikini wote lakini sio wabunge, anataka wabunge wawe mabilionea.

Jamaa ana kichwa cha tofauti sana na wengine.
 
unaota ndoto ya mchana wewe😂😂😂 yani posho ikose kisa mbowe na lissu hawana jimbo😂😂😃😃?????
 
Hivi wakibana Nani kati yetu atakuwa na hali nzuri.. Tuombe serikali itafakari hili ije na mustakabali ambao hautamuumiza mwananchi...

Siyo kusema wajamaa wabane...
 
Watu kama nyie ndio hamnazo akili kabisa. Mumeaminishwa kwamba bila wahisani nchi haiendi. Hebu kwanza kama mna uwezo fanyeni utafiti muone kama ni kiasi gani cha grants kama hamkuona ni kidogo sana. Kama ni mikopo kukopesha ni biashara ziko nchi na mabenki kibao tunaweza kukopa sio lazima ulaya. Nchi hii haishtuki kutishiwa misaada ili iuze uhuru wake. Huko tulishatoka zamani. Ni vibaraka tu waliyoleweshwa kasumba na mabeberu kama lissu ndio wanaendelea kutishia nchi nyau wa kizungu.
 
Bado unabisha?
Mafuta yatapanda bei mara dufu, uzalishaji utashuka, kodi zitapanda sana, bei zitapanda sana, maisha yatakuwa magumu. Hapo ndipo kila mtu ataelewa umuhimu wa wale mnaowaita mabeberu. Muda utaongea. Ukweli ni kwamba tunawahitaji zaidi kuliko wao wanavyotuhitaji.
 

'Kama ni mikopo kukopesha ni biashara ziko nchi na mabenki kibao tunaweza kukopa sio lazima ulaya.'

Zimbabwe mpk leo haijapata hayo mabenki ya kuikopesha sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…