Wahitimu hewa chuo kikuu 2012

Wahitimu hewa chuo kikuu 2012

kitu hauna maslahii nacho unatangaza tu!
sasa kama kawatunuku lakini wenyewe hawajahitimu wapo nyumbani wewe unakomaa tu!
ila ndio tulivyo wa tz jambo dogo utalikuza iliwatu waonekane wabaya maofisini wafukuzwe kazi
wakati hili nijambo dogo la kumalizika, sijui mnapenda watu wafukuzwe kazi

hilo sio jambo dogo. we utakuwa first year bila shaka.
 
hilo sio jambo dogo. we utakuwa first year bila shaka.
mkuu sina elimu hiyo kubwa sana!
mimi kitaalojia ndo elimu yangu na elimu ahera kwa sana
na wewe taja basi elimu yako ya uzamivu na uzalimi
 
tumekwisha..hiyo ni udsm....hata udom mnao tuita kata hayo madudu hakuna....
 
Nimesikitishwa sana na kuona wahitimu wasio na sifa kutunukiwa shahada zao bila kufanya mitiani yao ya mwaka wa tatu hata mmoja. ...................hii ni usibitisho tosha ma Profesa wetu kwa kweli waliopo kipind hk wanatia shaka sana katika elimu ya kizazi kijacho

This is an extremely serious allegation kwa serikali iliyo hai.Lakini kwa serikali iliyo ahera kama yetu hiyo sio shida.Mbona hata Raisi mwenyewe anateua majaji feki.
 
Back
Top Bottom