Wahitimu wa D.I.T wako fit pratically ukilinginisha na UDSM wanaosoma Engineering

Wahitimu wa D.I.T wako fit pratically ukilinginisha na UDSM wanaosoma Engineering

Pigizaneni kelele huko,lkn mwisho wa cku ukweli unabaki pale pale kwamba udsm hailinganishwi na chuo kama dit,udsm hadhi yake ni cape town,makerere na cairo university.

mkuu samahani sana huwezi kulinganisha UDSM na University of Cape Town, UCT ni level nyengine kabisa, UDSM iendele kulinganishwa na vyuo vengine vya huku Tanzania tu.
 
huko st joseph kumejaa waliofeli tu form six ,,, tena hata usiongee kitu mkuu... bora ukae kimya tu unaposikia udsm COET inatajwa....

chuo hakikupi gurantee ya ajira mbona hamuelewi wadau? coet! Coet! Haya
 
huko st joseph kumejaa waliofeli tu form six ,,, tena hata usiongee kitu mkuu... bora ukae kimya tu unaposikia udsm COET inatajwa....

Mmmh wadogo zangu kwa hili nalikataa sababu nimeshuhudia wanafunzi wakipata multiple selection za Coet na St.Joseph na ku opt kusoma St.Joseph...sababu kubwa wengi wanadai wanakaa chini na kucheki content za kozi walioipata kwa vyuo hivi pitia prospectus na ku make decision,mfano mara ya mwisho nilishuhudia kijana alikua ana Div 1 pnt 6 toka Moshi Tech alipata multiple selection katika Electronics and Communication akakataa Coet na ku join huko..samahani nimetoka nje ya Mada nilitaka kumsaidia huyu...
Mada ni nzuri ila hamtapata majibu kwasasa hadi mje kuanza kutafuta ajira ama scholarship mtapomaliza chuo mtakuja kupata majibu kila mtu kwa nafsi yake,otherwise mkishindanisha ki majina labda ndo majibu yako wazi.
 
@Mwanamabadiliko Teh teh teh teh! nadhani wewe umesoma UDSM Engineering ndo maana uko sharo hivi! Nakuuliza hivi ndivo mnafundishwa kufikiri? Mtoa mada ameongelea product kutoka DIT ni bora kuliko zile za UDSM! Maabara hata zingekuwa milioni moja kama Teaching methodology/techniques ni mbovu kama za Udsm utatoka mtupu! nilifanya field na dent wa Udsm electrical 3year kule mgodini Bulyanhulu shinyanga mwaka 2008 nilibaki mdomo wazi,hajui kutumia analog wala Digital multimeter nikimwambia pima in foward/reverse diode mweupee!
Nikupe kidogo tu ushindi wa D.I.T,mfano nafundishwa ku-design circuit ya kupeform a certain task,kwanza nitapigwa theory na reference za kutosha na calculations si unajua wakali wa hesabu wako DIThaendi mtu yeyote kama alifeli hesabu labda wale wanaosoma short course za kidada eg IT for one year,baada ya kujua kwa undani components kama Transistors zina behave vipi tunaanza design kila mtu anapewa uwanja wake ili kazi zisifanane mfano aina gani ya transitor utumie kwenye circuit yako BeTa in 50-100 utajikuta kila mtu ana component zenye value tofauti lakini lengo ni moja.
Baada ya ku-design circuit unaiweka kwenye computer unai-test ili uone majibu yako,kuna software zina kila kitu oscilloscope,signal generator n.k Baada ya hapo unajenga kitu tangible proto type(circuit yenyewe) unaitest live.hapo ni kwa ufupi tu,pia kuna masomo kem kem management,intrepreneurship,computing ndo usiseme, all in DIT wana tumia CBET methodogy,mwanafunzi wa DIT akipeleka proposal ya project lazima asimame kwenye jopo la madocta aitetee hadi ikubaliwe pia mwishoni watalaam na maprof wa vyuo vikuu nchini watakuja ufanye presentation ya project hakuna longolongo,UDSM mnakusanya tu hizo project hakuna kuitetea hivo unaweza kumpa mtu akakufanyia ukamlipa,DIT mapaka uuze sura mbele ya jopo kutetea project yako.

Oooh cumon!!!Narudia na hapa,si kila aliyesoma Coet Ud,yuko shalo,Uwezo wa mtu mwenyewe una play part kubwa katika hili.
 
hata kawambwa alikuwa hapo hapo coed kiufupi udsm kitabakia tu kuwa chuo kikongwe kilicholididimiza taifa
 
barabara zote kuu na majengo makubwa ya tz yanatengenezwa na makampuni ya nje. Hivi kuna watanzania waliowahi kupata tenda za maana nje ya nchi? migodini wawekezaji wanalalamika watz hawawezi kazi za eng that's why wanaajiri watu kutoka nje c'se wanadai wakiajiri watz inabidi wagharamike tena kuwapeleka nje kusoma tena level ya certificate ndio pooooof angalau kidogo wanaweza kufanya kazi watakazoagizwa.
-maswala ya mechanics & electronics wote DIT & UDSM ni mafundi tu.. kazi yao ni kufanya simple repair & maintenance
-aerospace ndio hakuna kitu kabisa maana ndege zetu zinafanyiwa repair nje mostly south africa..

Ningewaona wa maana iwapo mngekuja na facts eg huyu wa udsm amefanya project hii na huyu wa dit amefanya hiki then nani zaidi. Vinginevyo naona mgonjwa ebola anamcheka mgonjwa wa kipindupindu
 
I have much respect to tanzanian biologists and agricultural scientists .. and never to these political engineers
 
mtoa mada huo uthibitisho uliokuja nao si sahihi kabisa,hata ktk darasa flani la engineering kuna wa kwanza na wa mwisho(kama ilivyo huko DIT,etc);labda huyo mwanafunzi alikua the best from dit aliekutana na wa kawaida from ud!!labda tujikite kutafuta kama kuna research on this.
Ila mi nlishakutana na mtu kutoka nchi fulani akaniambia yeye ni theoretical physicist,nkamuuliza kuhusu ma practical physicists akasema huko kwao pia wapo!!so UDs,mists,dits,st.jays,sauts,etc mi nawapa bigup sana tu wanasayansi wetu!!
 
mkuu kama ni vilaza kwanini wasiitwe vilaza? Hivi mtu smart anaweza leta mada chovu kama hii? Inaaminika na nani na toka lini? Huko DIT inaonekana wanambwela tu sasa katika kujifariji ndiyo wanakuja na vitu ambavyo hata havina mashiko.

hunazo kweli wewe! na ndio maana kwenye uzi wako mmoja uliopita hapa jf ulikuwaunaomba tukupe mbinu za kumtongoza denti wako, nilishangaa sana lakini leo nimejua.
 
Heh huu mjadala bado upo? Lakini wakuu chuo ni kichwa cha mtu labda nyie wa UDSM niwahoji bwana Maxence Melo aliyetukusanya humu ndani ni product ya DIT hii inatosha kuonyesha kwamba DIT pia wako sawa na sijui kama founder wa JF angekua Mwana Udsm nadhani sisi tusiosoma hata Advance tungefukuzwa humu, kikubwa ni kuelewa malengo ya UDSM ni yapi na ya DIT ni yapi. Unazi uwekwe kando.
 
Last edited by a moderator:
Engineering tuliosoma miaka ya 19 kutoka facult of engineering ilikua inakimbiwa na mafundi mchundo wa FTC, 1995 darasa la civil tulikua 23, form six walikua 19 na waliobaki ni FTC, sikumaliza na FTC hata mmoja, walikamatwa mwaka wa kwanza na wa pili, hata masoma ya labs. tu yaliwashika. Kwa ufupi watu wengi waendao vyuo kama DIT,ARUSHA TECH.,MBEYA TECH. huwa na viarufu vya ufundi mchundo na ndio maana hawezi jitofautisha wenyewe na wahandisii. Hao wote wanatakiwa kufanya kazi chini ya wahandisi wa UDSM na sio vinginevyo!
 
Engineering tuliosoma miaka ya 19 kutoka facult of engineering ilikua inakimbiwa na mafundi mchundo wa FTC, 1995 darasa la civil tulikua 23, form six walikua 19 na waliobaki ni FTC, sikumaliza na FTC hata mmoja, walikamatwa mwaka wa kwanza na wa pili, hata masoma ya labs. tu yaliwashika. Kwa ufupi watu wengi waendao vyuo kama DIT,ARUSHA TECH.,MBEYA TECH. huwa na viarufu vya ufundi mchundo na ndio maana hawezi jitofautisha wenyewe na wahandisii. Hao wote wanatakiwa kufanya kazi chini ya wahandisi wa UDSM na sio vinginevyo!

Nahisi wewe bado unajua Rais wa nchi ni Nyerere. Mambo yamebadilika, halafu hapo juu tumeongelea degree holders wa vyuo hivi na sio FTC.
 
Nahisi wewe bado unajua Rais wa nchi ni Nyerere. Mambo yamebadilika, halafu hapo juu tumeongelea degree holders wa vyuo hivi na sio FTC.
Dogo hiyo engineering yako uanyosoma sijui toka chuo kipi maliza utatukuta kwenye panel! ndio utajua ni ya nyerere au ndio engineering hasa, sio ya kuunga unga sijui grade test then FTC alafu sijui adv. dipl alafu degree ni mchundo 100%
 
Dogo hiyo engineering yako uanyosoma sijui toka chuo kipi maliza utatukuta kwenye panel! ndio utajua ni ya nyerere au ndio engineering hasa, sio ya kuunga unga sijui grade test then FTC alafu sijui adv. dipl alafu degree ni mchundo 100%

NGOJA NIKUULIZE: kwenye iyo panel utakuwa umekwa kuangalia engineer aliyetoka UDSM au mwenye vigezo? @ mr PANEL
 
Mimi nimesoma udsm, na tena hiki chuo kinakufa kwa sababu ya sifa za kijinga,unakuta mwalimu anabana somo lake kisa hajapata phd,tena bora siku hizi practical ni juhudi zako mwenyewe tuu no guidance. Mfano pale udsm unafundishwa na mwalimu anakaribia miaka 60 jamani kwa tanzania mwalimu kama huyu alimeza tuu , computer tz tumezijua miaka ya 2000. Vyuo vingine sijui wakoje ila wale wanaopokea wanafunzi field ndo wako kwenye position nzuri kulisemea hili. Lakini makazini nona zaidi wanafunzi wa udsm sasa sijui bado waajiri wanamini hawa zaidi au ni uzuri sina uhakika. Na next makazini ni wa st joseph
 
Ukianza tu nitajua mchundo product! take from me

aah! Huyo ndo mr PANEL a.k.a engineer wa karne ya 19 toka UDSM. Kwa miaka mingi chuo chako kimetoa wahandisi feki, makampuni toka nje yanakuja na wahandisi wao kisa watu kama nyie mnashindwa kazi zenu. Pamoja na hayo me siamini kuwa chuo kimoja pekee ndio kinato a gurantee ya ubora wa fani ya mtu, kama ambavyo unakipa sifa UDSM. Juhudi za mtu ndo mpango mzima.
 
Mimi nimesoma udsm, na tena hiki chuo kinakufa kwa sababu ya sifa za kijinga,unakuta mwalimu anabana somo lake kisa hajapata phd,tena bora siku hizi practical ni juhudi zako mwenyewe tuu no guidance. Mfano pale udsm unafundishwa na mwalimu anakaribia miaka 60 jamani kwa tanzania mwalimu kama huyu alimeza tuu , computer tz tumezijua miaka ya 2000. Vyuo vingine sijui wakoje ila wale wanaopokea wanafunzi field ndo wako kwenye position nzuri kulisemea hili. Lakini makazini nona zaidi wanafunzi wa udsm sasa sijui bado waajiri wanamini hawa zaidi au ni uzuri sina uhakika. Na next makazini ni wa st joseph

yaani hii nchi tulikuwa tunaelekea pabaya sana.
 
Wanafunzi wanaochukua degree za Engineering toka D.I.T inaaminika wako nondo kwa suala zima la practical, ukilinganisha na wanafunzi toka vyuo vingine vya serikali ikiwemo UDSM ambao inaaminika wao kwa theory ni noma. Hili pia limethibitishwa na mwanafunzi wa UDSM aliyewahi kukutana field na wanafunzi wa D.I.T na alikiri kuona utofauti mkubwa. Unakubaliana na hili?

Acheni kudanganyana hapa,VETA ndio wakali sema tu siye wengine wakali wa kumeza na tunajua kikristo!
 
aah! Huyo ndo mr PANEL a.k.a engineer wa karne ya 19 toka UDSM. Kwa miaka mingi chuo chako kimetoa wahandisi feki, makampuni toka nje yanakuja na wahandisi wao kisa watu kama nyie mnashindwa kazi zenu. Pamoja na hayo me siamini kuwa chuo kimoja pekee ndio kinato a gurantee ya ubora wa fani ya mtu, kama ambavyo unakipa sifa UDSM. Juhudi za mtu ndo mpango mzima.
Jipe moyo tu dogo! Facts ndio Engineering ya siku zile UDSM acha kabisa!, tutakutana kwenye projects fundi mchundo!
 
Back
Top Bottom