Wahitimu wa D.I.T wako fit pratically ukilinginisha na UDSM wanaosoma Engineering


Kwa nini iwe DIT na UDSM usiseme DIT na ST JOSEPH COLLEGE OF ENGINEERING au UDSM na MIST au na chuo kingine chochote cha elimu ya JUU?
 
Lengo la elimu ya juu siyo kumfanya mhitimu awe fit practically. Unaposoma elimu ya juu unatakiwa kuijua field husika kwa undani iwezekanavyo na hivyo kuwa na muda mdogo wa practicle. Kuboresha practice is a life long process katika profession. Ukikosa details ya msingi katika hiyo profession huwezi kuwa na mchango katika kuiendeleza profession kiutafiti, kwa sababu ili ufanye utafiti ni lazima ujue kwanza wenzako wameishia wapi.

Umenikumbusha wale clinical officers ambao mwaka wa kwanza tu wnaaanza kujifunza dozi za dawa, baada ya miaka mitatu wanaachiwa vituo waongoze wakati mwanafunzi wa medicine mpaka mwaka wa tatu ndio anaanza kumgusa mgonjwa. Ukiwachukua hawa utasema CO yuko fit zaidi, lakini only in the beggining, after 10 years utakuta tofauti kubwa sana kati ya MD na CO. The same applies kwenye engineering.

Siku ina masaa 24, sasa ni choice ya curiculum kama itayatumia masaa hayo kumfundisha mwanafunzi fundamentals ya somo au itamfundisha moja kwa moja kuwasha mtambo na kuendesha.
 
mnajipa moyo lazma ulichemsha six ndo maana hukusoma ud

kweli elimu yako haikusaidii nazani ulienda chuo kwa kubahatisha nani alikwambia wanaoenda vyuo kama dit,mist na ait wamefeli ...wale wanachaguliwa baada ya kufaulu form 4,ndo wanaenda huko ila sifa za kwenda form 6 ,huwa wanazo ila unakuta mtu kapenda kwenda ufundi kwanza
 

Acha fikra ndogo tofautisha medicine na Engineering umekariri pia kumbuka tunarumbana kuhusu Bachelor holders si vinginevyo ingekuwa Technicians na Engineers ningekubaliana na wewe
 
Kwa nini iwe DIT na UDSM usiseme DIT na ST JOSEPH COLLEGE OF ENGINEERING au UDSM na MIST au na chuo kingine chochote cha elimu ya JUU?

KAKA NAANDIKA KITU NILICHOKIFATILIA KWA MUDA. Naamini nimewakilisha Taasisi na vyuo vingine vinavyoweza kuwa vinahusika na hili kwa namna moja au nyingine.
 

Bora mkuu umetoa facts kwa hawa vijana. Wanagombania chuo gani zaidi...teh teh teh! Wakati kila training inaandaa mtu kwa ajiri ya kazi maalumu na sio kufanya kila kitu kama mnavyotaka tuamini hapa. Kwenye design na consultancy, UDSM wako njema sana. Ila kule kwenye kufunga na kufungua DIT wako well organized. Na ndio sababu ya kuwa na vyuo hivyo viwili. Isipokuwa wanatakiwa kujua ni lazima washirikiane ili kusaidia walengwa bila mizengwe...wao wanatafuta nani bora zaidi. Duuuh
 
Acha fikra ndogo tofautisha medicine na Engineering umekariri pia kumbuka tunarumbana kuhusu Bachelor holders si vinginevyo ingekuwa Technicians na Engineers ningekubaliana na wewe

Ile ya Dar tech inaitwaje tena? Ntampigia Prof Nyahumwa anikumbushe maana ile ya UDSM ilikuwa BSC kama sikosei. Guys malengo ya hizo degree mbili mnayajua?
 
Acha fikra ndogo tofautisha medicine na Engineering umekariri pia kumbuka tunarumbana kuhusu Bachelor holders si vinginevyo ingekuwa Technicians na Engineers ningekubaliana na wewe

yeap! Hoja inazungumzia Degree holders na si diploma.
 
Ile ya Dar tech inaitwaje tena? Ntampigia Prof Nyahumwa anikumbushe maana ile ya UDSM ilikuwa BSC kama sikosei. Guys malengo ya hizo degree mbili mnayajua?

Tusibishane sana naomba unipe tofauti kati ya Bachelor of science in engineering na Bachelor of engineering hasa kwenye mitaala wanayotumia
 
Acha fikra ndogo tofautisha medicine na Engineering umekariri pia kumbuka tunarumbana kuhusu Bachelor holders si vinginevyo ingekuwa Technicians na Engineers ningekubaliana na wewe

Kwa maneno yako hayo, umejenga hoja gani?
 


UKUBWA WA PUA SIO WINGI WA KAMASI..!

kwanza hujaelewa thread yenyewe..! jamaa hajasema DIT wana maabara kubwa kuliko UDSM..! KAMA NA WEWE NI MHITIMU WA ud UNA VINDICATE KUWA KWELI MNATOKA MAKAPA..HATA KUELEWA TU UNGUINI NI TATIZO..!

ALL IN ALL ..KILA CHUO KINATOA WAKALI NA PIA KUNA MAKAPI HUTOLEWA NA KILA CHUO..! SO UNAPOTAKA KUAJIRI ENGINEER FANYA INTERVIEW PERIOD..!

JE NA SISI TULIOSOMA KENYATTA TUSEMEJE?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…