tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,129
Bora mkuu umetoa facts kwa hawa vijana. Wanagombania chuo gani zaidi...teh teh teh! Wakati kila training inaandaa mtu kwa ajiri ya kazi maalumu na sio kufanya kila kitu kama mnavyotaka tuamini hapa. Kwenye design na consultancy, UDSM wako njema sana. Ila kule kwenye kufunga na kufungua DIT wako well organized. Na ndio sababu ya kuwa na vyuo hivyo viwili. Isipokuwa wanatakiwa kujua ni lazima washirikiane ili kusaidia walengwa bila mizengwe...wao wanatafuta nani bora zaidi. Duuuh
waache waendelee na ideology zao et! UDSM ndo smart kuliko vyuo vyote.
Baada ya kutaja ma-LAB yote hayo, hebu nifagilie mimi niliyepita kwenye hayo ma-LAB ya UDSM, na FTC halafu nilitokea TECHNICAL SCHOOL. TATIZO LA MLIO WENGI HUMU MNA INFERIORITY COMPLEX......... YAANI SHULE YAKO IKITAJWA KWA UDHAIFU BASI UNAKUJA JUU KAMA MOTO WA KIFUUha ha ha. DIT mnajidanyanya. ni practical gani zinazowafanya muwe juu. Kwanza DIT hamproduce real engineers.
UDSM tupewa Bachelor of science in engineeering while in dit bachelor of engineering . hivi ni vitu viwili tofauti. Our
carriculum is heavy and practical. Tukizungumzia lab kubwa kabisa tanzania ni hizi:
-MECHANICAL LAB- namba moja ni udsm( kila testing ya meh.equipment nchi hii inafanyika pale na wanafunzi kwa
kiasi kikubwa wanafanya hizo.) hakuna kiwanda wala institution yenye lab kubwa kuliko hizi nchi hii
-ELECTRICAL LAB - HIGH VOLTAGE LAB( UDSM ranked number 1 in east africa)
-ELECTRICAL MACHINES LAB(Number 1 in TZ)
-POWER ELECTRONICS LAB( Number one in TZ)
-CHEMICAL ENGINEERING LAB- kwa tanzania hii ndo maabara ya kuaminika, kabla ya kuletwa maabara ya mkemia mkuu, majaribio yote NCHI HII yalifanyika UDSM.Na hizi ni kwa ajili ya wanafunzi na matumizi ya ndani ya nchi
-CIVIL ENGINEERING LAB- udongo WA kila barabara unayotembea we kilaza wa DIT unapimwa kwenye lab hii.
-ELECTRONICS LAB- ( NUMBER 1 IN ALL INSTITUTION IN THIS COUNTRY)
-COMPUTER LAB- NI OVIASI HAKUNA CHUO HAPA TANZANIA CHENYE COMPUTER NYINGI KUZIDI UDSM
.
NISIWAANDIKIE GAZETI- IN PRACTICAL SENSE NO OTHER INSTITUTION HAVE QUALITY LABS AND EQUIPMENT THAN UDSM.
kusoma ramani its not a technical aspect- UDSM IS THE CORE OF TECHNOLOGY IN THIS COUNTRY
Kuna watu kusoma UDSM tu wanajiona kuwa so special. Sijui mngekuwa M.I.T na Havard. Acheni ukiritimba. Kueni kifikra mnafikia kuwaita Vilaza ambao hawasomi Udsm.
mkuu kama ni vilaza kwanini wasiitwe vilaza? Hivi mtu smart anaweza leta mada chovu kama hii? Inaaminika na nani na toka lini? Huko DIT inaonekana wanambwela tu sasa katika kujifariji ndiyo wanakuja na vitu ambavyo hata havina mashiko.
Wanafunzi wanaochukua degree za Engineering toka D.I.T inaaminika wako nondo kwa suala zima la practical, ukilinganisha na wanafunzi toka vyuo vingine vya serikali ikiwemo UDSM ambao inaaminika wao kwa theory ni noma. Hili pia limethibitishwa na mwanafunzi wa UDSM aliyewahi kukutana field na wanafunzi wa D.I.T na alikiri kuona utofauti mkubwa. Unakubaliana na hili?
kwanza wa UDSM hata ukifatilia academic record yake toka anazaliwa itakua ni nzuri tu na ndomana akaweza kuchaguliwa huko.
Mambo yapo St.Joseph University UDSM&DIT wote vilaza tu kwenye soko la ajira
kwa waliofeli ukiiikuta two darasni cjui
jamani haya mambo mengine hayana tija kuyajadili.ukweli upo palepale mtu aliyehitimu chuo kikuu kama UDSM huwezi mlinganisha na hao wengine.tofauti ni kubwa sana.kwanza wa UDSM hata ukifatilia academic record yake toka anazaliwa itakua ni nzuri tu na ndomana akaweza kuchaguliwa huko.
jamani haya mambo mengine hayana tija kuyajadili.ukweli upo palepale mtu aliyehitimu chuo kikuu kama UDSM huwezi mlinganisha na hao wengine.tofauti ni kubwa sana.kwanza wa UDSM hata ukifatilia academic record yake toka anazaliwa itakua ni nzuri tu na ndomana akaweza kuchaguliwa huko.
binafsi nawafahamu jamaa zangu kama watano waliodisko UDSM.hawa wote walienda kusoma huko DIT na wakafanikiwa kumaliza.cha kushangaza sijawahi kuona mtu anadisko DIT then akapata admission UDSM.hii ni sawasawa na kwa wenzetu madaktari.huwezi linganisha daktari aliyehitimu muhimbili medicine na clinical officer au assistant medical officer ambao mtaani pia wanaitwa madaktari.tubadilike kimawazo jamani.tuondokane na mawazo mgando.