i
Ukweli wanaujua waajiri, UDSM mnameza(Mnakariri) inafahamika kote.
Kama unadhani Jina na hadhi ya chuo vitaku-favour sahau kuhusu hilo. Anza kutafuta Alternative. Msiwatishe madogo wanaoenda kuanza degree kwenye vyuo hivi.
Tusibishane sana naomba unipe tofauti kati ya Bachelor of science in engineering na Bachelor of engineering hasa kwenye mitaala wanayotumia
hapo kwenye blue, ndiyo ujinga ninaoukataa huo. Huwezi ukaconclude mambo kizembe hivyo....Inafahamika kote wapi? Au kwenye kundi lenu la vilaza?
Hapo kwenye red, sitegemei jina wala hadhi ya chuo kunibeba. UDSM nilishapita, nipo natrain vijana kama wewe angalau wapanue uwezo wao wa kufikiri.
Hizi fikra kama bado tuko ndani ya mabox sijui zinamsaidia nani. Bora uwasaidie vijana. Naona hawajitambui.
Sina tabia ya kubishana ili nishinde...nataka kupata ufahamu zaidi maana ndio utanisaidia kupiga hatua zaidi mbele. Sijui hapa watu wanachotaka ni nini maana iwe umeajiriwa au umejiajiri, bado as individual, itategemea sana unajiweka vipi ili uwe na mafanikio. Tunaposoma tunaandaliwa kwa ajiri ya kazi mbalimbali...BSC and BE hazifanani maana hasa nchi zilizoendelea kuna wanaoandaliwa kuwa researchers na wengine kuwa moja kwa moja kwenye kazi za mikono(Hands job). Kwa Tanzania soko letu halijapanuka hivyo...na usitegemee ukiniletea cheti cha chuo fulani basi ndio una guarantee ya kupata kazi hata kama utakuwa mzigo kwangu.
So unamaanisha UDSM ni wamezaji yaani (researchers) wali si watu wa vitendo, nadhani nimekuelewa
Kuna watu kusoma UDSM tu wanajiona kuwa so special. Sijui mngekuwa M.I.T na Havard. Acheni ukiritimba. Kueni kifikra mnafikia kuwaita Vilaza ambao hawasomi Udsm.
i
Ukweli wanaujua waajiri, UDSM mnameza(Mnakariri) inafahamika kote.
Kama unadhani Jina na hadhi ya chuo vitaku-favour sahau kuhusu hilo. Anza kutafuta Alternative. Msiwatishe madogo wanaoenda kuanza degree kwenye vyuo hivi.
yaani hicho ndicho mnachokitafuta, haya tufanye kwamba ni wamezaji...nyie msiomeza mmefanya nini cha maana? Au ndiyo mnafundishwa kupiga porojo kama hizi?
kilaza mwingne ulipata 4 o 3 au ndo wale wa ftc baada ya comb kuto kubalance
UKUBWA WA PUA SIO WINGI WA KAMASI..!
kwanza hujaelewa thread yenyewe..! jamaa hajasema DIT wana maabara kubwa kuliko UDSM..! KAMA NA WEWE NI MHITIMU WA ud UNA VINDICATE KUWA KWELI MNATOKA MAKAPA..HATA KUELEWA TU UNGUINI NI TATIZO..!
ALL IN ALL ..KILA CHUO KINATOA WAKALI NA PIA KUNA MAKAPI HUTOLEWA NA KILA CHUO..! SO UNAPOTAKA KUAJIRI ENGINEER FANYA INTERVIEW PERIOD..!
JE NA SISI TULIOSOMA KENYATTA TUSEMEJE?
Nyie bishaneni !! Kuhusu chuo kipi kati ya udzm and dit ni bora ?? ila mwisho wa yote;
1. UDZM
2.SUA
3.DODOMA
NB: wengine mtagawana hzo namba zinazofuata !!
So unamaanisha UDSM ni wamezaji yaani (researchers) wali si watu wa vitendo, nadhani nimekuelewa
Usipanik kumbuka wewe ni thinker tunakutegemea,ila kwa hilo la wamefanya nini nenda tu pale DIT ukajionee watu wako deep wanafanya vitu vya kweli siyo longolongo za kumeza kama UD jipange sana ENGINEER WA KWELI SIO MMEZAJI THEORY BALI NI MTENDAJI PIA KUMBUKA UWEZO WAKO PRACTICALLY NDIO UTAKUPA AJIRA WALA SI UMEZAJI WAKO
Na wale wanaojenga majengo na kudesign vitu mbali mbali nao ni wamezaji? Unajua engineering sio siasa? Kitu usichokijua ni kama usiku wa giza....mimi najua engineering inafanya nini na sina sababu ya kukwambia nilisoma wapi. Kama kuna mtu anaamini chuo alichosoma ndio kinajibu analolitaka kwenye engineering, pia all the best!
Sikutegemea kumbe na wewe Dudu ni MMEZAJI