Wahitimu wa form six masomo ya Sayansi (PCM, PCB, CBG) wana uelewa zaidi kuliko wahitimu wa vyuo waliosomea ualimu

Wahitimu wa form six masomo ya Sayansi (PCM, PCB, CBG) wana uelewa zaidi kuliko wahitimu wa vyuo waliosomea ualimu

Kuna mizaha mingi kwa Walinu, ila to be honest tunastahili mizaa hiyo

Ni kazi ambayo kwa kweli Haina thanani, kazi nyingi, mshahara mdogo (degree 700k), hakuna overtime, kila kiongozi ni boss wako


Haya masihara na utani kutoka kwa kina Mpwayungu na wengineo iwe ni challenge, watu waendane na wakati

Ifike hatua watu wawe na transformed mind, habari za kushinda masaa 24 shule kisa unataka A nyingi za NECTA wakati mshahara hata kula hautoshi ni UPUMBAVU

Mambo ya kufundisha Hadi likizo, ni UPUUZI

Fanya kazi muda mchache uliopngwa, Kisha ondoka kabisa shuleni, kafanye mambo mengine ya kiuchumi


Weka mkakati, kufundisha iwe sehemu ya kupata pesa ukafanye mambo mengine, sio ajira ya kudumu (unless uridhike kupata 500 take home kila mwezi)


KIMSINGI UALIMU SIO KAZI, NI PROFESSION ya kupotezea muda tu
Wewe ndoumeongea point Sasa, Safi kabisa walimu wabadilike
 
Maoni yako ni yepi juu ya hili:
Wahitimu wa form six masomo ya Sayansi (PCM, PCB, CBG) wana uelewa zaidi kuliko wahitimu wa vyuo waliosomea ualimu.

Kuna mdau ameshauri wahitimu wa form six wawe wanaajiriwa moja kwa moja kufundisha shule za sekondari bila kupitia chuo wanakoenda kugoogle badala ya kusoma vitabu.
Nonsense. Wapi ushahidi hata angalau utafiti?
 
Huu uzi asiuone Mpwayungu tafadhari
Walimu warudi shule upya bado ni vilaza, serikali ianze kuajiri wanafunzi bright wenye division one tu na mishahara iongezwe iwe million moja na kuendelea ili waweze kubadilisha mboga vinginevyo watabaki kuwa malofer tu
 
Walimu warudi shule upya bado ni vilaza, serikali ianze kuajiri wanafunzi bright wenye division one tu na mishahara iongezwe iwe million moja na kuendelea ili waweze kubadilisha mboga vinginevyo watabaki kuwa malofer tu
Hii ndio ilikuwa point ya mleta nada ila hakuiweka vizuri
 
Mtu aliyepata A ya Physics A level hata asipoenda kusoma ualimu ni mtamu kuliko aliyepa E,D halafu akaenda ualimu kisha aje afundishe Physics.
 
Maoni yako ni yepi juu ya hili:
Wahitimu wa form six masomo ya Sayansi (PCM, PCB, CBG) wana uelewa zaidi kuliko wahitimu wa vyuo waliosomea ualimu.

Kuna mdau ameshauri wahitimu wa form six wawe wanaajiriwa moja kwa moja kufundisha shule za sekondari bila kupitia chuo wanakoenda kugoogle badala ya kusoma vitabu.
Hii nashindwa kuelewa,ni kwamba vyuo vinawafubaza au inakuwaje? Maana huyo mhitimu wa chuo Kikuu alikuwa pia mhitimu wa form six.Labda Kuna kitu hujaandika
 
Maoni yako ni yepi juu ya hili:
Wahitimu wa form six masomo ya Sayansi (PCM, PCB, CBG) wana uelewa zaidi kuliko wahitimu wa vyuo waliosomea ualimu.

Kuna mdau ameshauri wahitimu wa form six wawe wanaajiriwa moja kwa moja kufundisha shule za sekondari bila kupitia chuo wanakoenda kugoogle badala ya kusoma vitabu.
Hao Form six wakiweza kumfundisha mtoto wa Nursery nitakubaliana na mada yako
 
Kuna mizaha mingi kwa Walinu, ila to be honest tunastahili mizaa hiyo

Ni kazi ambayo kwa kweli Haina thanani, kazi nyingi, mshahara mdogo (degree 700k), hakuna overtime, kila kiongozi ni boss wako


Haya masihara na utani kutoka kwa kina Mpwayungu na wengineo iwe ni challenge, watu waendane na wakati

Ifike hatua watu wawe na transformed mind, habari za kushinda masaa 24 shule kisa unataka A nyingi za NECTA wakati mshahara hata kula hautoshi ni UPUMBAVU

Mambo ya kufundisha Hadi likizo, ni UPUUZI

Fanya kazi muda mchache uliopngwa, Kisha ondoka kabisa shuleni, kafanye mambo mengine ya kiuchumi


Weka mkakati, kufundisha iwe sehemu ya kupata pesa ukafanye mambo mengine, sio ajira ya kudumu (unless uridhike kupata 500 take home kila mwezi)


KIMSINGI UALIMU SIO KAZI, NI PROFESSION ya kupotezea muda tu
Mshahara wa Mwalimu siyo mdogo, tatizo kubwa mmejijengea inferiority complex ya kutisha mpaka mnaishi kwa hofu na wasiwasi wa kichoko kinoma.
 
Maoni yako ni yepi juu ya hili:
Wahitimu wa form six masomo ya Sayansi (PCM, PCB, CBG) wana uelewa zaidi kuliko wahitimu wa vyuo waliosomea ualimu.

Kuna mdau ameshauri wahitimu wa form six wawe wanaajiriwa moja kwa moja kufundisha shule za sekondari bila kupitia chuo wanakoenda kugoogle badala ya kusoma vitabu.
Boss ivi unajua secondary ni elimu ya kufuta ujinga na chuo ni elimu ya fani na ni vitu viwili tofauti, inaonekana upo advance boss, acha kuandika vitu usivyovielewa
 
Hao uliowataja ndo wanafundisha Tanzania nzima? Ndo wamekufanya uconclude hivyo?
Wambie wafungue shule Yao halafu waajiri form six leavers tu
Mnabishana na watoto wa secondary uyo ata chuo bado 😀😀hajui chochote kajiandikia tu
 
Back
Top Bottom