Bora huyu angalau mkono umenawiri kiasi kuna wengine ukiwaona utalia
Sasa mdada miaka 10 toka umalize chuo hujaolewa jamani....hili mie naoma ndio tatizo kubwa zaidi.
Jamani kataa ndoa evu walegezeeni wanawake wanataabika huku.
Waoeni muwatunze
Tena hao wanaojiona wa digiliii ndio pasua kichwa hawafai kuona hata kwa bahati mbayaSasa mdada miaka 10 toka umalize chuo hujaolewa jamani....hili mie naoma ndio tatizo kubwa zaidi.
Jamani kataa ndoa evu walegezeeni wanawake wanataabika huku.
Waoeni muwatunze
Approach zao za maisha ndio hufanya wanaume waone kama huyu anafaa kuolewa au hapana.Sasa mdada miaka 10 toka umalize chuo hujaolewa jamani....hili mie naoma ndio tatizo kubwa zaidi.
Jamani kataa ndoa evu walegezeeni wanawake wanataabika huku.
Waoeni muwatunze
🤣🤣🤣 Wanakuwa na nyodo ndio tatizo laoTena hao wanaojiona wa digiliii ndio pasua kichwa hawafai kuona hata kwa bahati mbaya
Sasa tuwasaidiaje wakiwa chuo wasiwe breki pumbuz?Approach zao za maisha ndio hufanya wanaume waone kama huyu anafaa kuolewa au hapana.
Wakiwa chuo huwa wana behave vibaya sana, sasa wakirudi kitaa na jamaa wakipata files zao inakuwa ni HIT & RUN.
Ngoja aje mashamba makubwa nalima!
Kwanza jamii lazima ibadilishe mtazamo, si lazima mtoto apite chuo kikuu kifanikiwa. Hii mitazamo ikiisha na jamii itabadilika
Kwa hiyo kuolewa ni sawa na ajira?Sasa mdada miaka 10 toka umalize chuo hujaolewa jamani....hili mie naoma ndio tatizo kubwa zaidi.
Jamani kataa ndoa evu walegezeeni wanawake wanataabika huku.
Waoeni muwatunze
Wanaweka pesa nyingi kwenye elimu ambayo haina Returns kwa mazingira yetu.Wazazi waache upuuzi wa kusema urithi wa mtoto ni elimu peke yake.
Kabisa yuko na Hali nzur.Wengi ni barmaid/bartender yote n maisha.Bora huyu angalau mkono umenawiri kiasi kuna wengine ukiwaona utalia
You do realize haiendi chuo kusaka mume, so point yako ni so irrelevant. Ishu hapa ni ajira kuwa ngumu dispite of elimu ipoSasa tuwasaidiaje wakiwa chuo wasiwe breki pumbuz?
Yaani imagine ten years no man wants to marry u. Assuming amemaliza chuo na 23 so means ana 33 no marriage. Aisee hii ni crisis
Na serikali imekaa kimya iko bize na sherehe za ajabu ajabuKwakweli ajira ni changamoto kupita kiasi