Hivi kwa huu utaratibu wa vyuo vingi tulivyo navyo hapa nchini tunatarajia hawa wasomi wetu watatutoa kweli. Vyuo vingi vinatoa wahitimu wengi lakini ambao wanakosa sifa za kiusomi kwa sababu nyingi.
Na hizi ndizo nilizobaini kwanza uwezo mdogo wa hao wanachuo wenyewe katika mazingira ya kuchanganua mambo na yote hii imezalishwa na mfumo wetu tulojijengea kati ya wanachuo na walimu hivyo wanachuo kukutaka kuumiza vichwa kwa kuwa mwisho wanauhakika wa kupata matokeo mazuri.
Na hii yote inajengwa na rushwa .Mwanachuo anauhakika wa kupata matokeo mazuri kwa uwezo wa fedha yake ambayo atatoa kwa waalimu. Matokeo makubwa tunazalisha wanasomi wenye uwezo mdogo sana.
Angalizo hii sio kwa vyuo vyote kuna baadhi ya vyuo vinazingatia misingi ya elimu bora na wahitimu wake ni bora lakini baadhi ya vyuo vingi mtindo ndio huo na si vyuo binafsi tu hata vyuo vya serikali mtindo ndio huo.
Asalaam Alekuim wahusika wa Elimu mnakaribishwa kwenye mjadala mapana
Na hizi ndizo nilizobaini kwanza uwezo mdogo wa hao wanachuo wenyewe katika mazingira ya kuchanganua mambo na yote hii imezalishwa na mfumo wetu tulojijengea kati ya wanachuo na walimu hivyo wanachuo kukutaka kuumiza vichwa kwa kuwa mwisho wanauhakika wa kupata matokeo mazuri.
Na hii yote inajengwa na rushwa .Mwanachuo anauhakika wa kupata matokeo mazuri kwa uwezo wa fedha yake ambayo atatoa kwa waalimu. Matokeo makubwa tunazalisha wanasomi wenye uwezo mdogo sana.
Angalizo hii sio kwa vyuo vyote kuna baadhi ya vyuo vinazingatia misingi ya elimu bora na wahitimu wake ni bora lakini baadhi ya vyuo vingi mtindo ndio huo na si vyuo binafsi tu hata vyuo vya serikali mtindo ndio huo.
Asalaam Alekuim wahusika wa Elimu mnakaribishwa kwenye mjadala mapana