Wahitimu wengi wa vyuo vikuu hawana maarifa ya kufanya mabadiliko chanya kwao na kwa jamii

Wahitimu wengi wa vyuo vikuu hawana maarifa ya kufanya mabadiliko chanya kwao na kwa jamii

Lakini hili haliwezi kufanyika kama lecturers tutawapata kwa kuwachukua fresh from school kwa sababu tu ya academic performance lakini watahiniwa watahitaji zaidi ya good grades, so huyo lecturer ataweza wapa ya ziada

Hapa ndo unaona mfumo wa elimu unatakiwa kugusa kila angle hadi ubora wa waalimu ambao bado wanachaguliwa randomly na huko mavyuoni wengi wanachukuliwa fresh from school. Mambo ni mengi kuyaandika katika paragraph ndogo ndogo lakini nachoamoni Hii cycle haiwezi isha kirahisi kama wakufunzi hawatoguswa 🙏🙏
Lecturer hajawahi fanya kazi katika field husika anayo-train, baada ya kumaliza tu, akabakishwa shuleni.

Mwanachuo hajawahi fanya field, kipindi chote cha masomo yake, anafanya tu "projects".

Ma-bro kazi zilizowafata chuoni kipindi hicho "waajiri leo", wamekua mwiba, kuhoji ubora na uwezo wa hawa graduates wa sasa.

Nimekuelewa sana katika msingi wa hoja zako katika hili.
 
Mbona nyuzi za kuwaponda graduates zimekuwa nyingi humu ? .
Mna msongo wa mawazo na ugumu wa maisha ?
 
Lecturer hajawahi fanya kazi katika field husika anayo-train, baada ya kumaliza tu, akabakishwa shuleni.

Mwanachuo hajawahi fanya field, kipindi chote cha masomo yake, anafanya tu "projects".

Ma-bro kazi zilizowafata chuoni kipindi hicho "waajiri leo", wamekua mwiba, kuhoji ubora na uwezo wa hawa graduates wa sasa.

Nimekuelewa sana katika msingi wa hoja zako katika hili.
Umetoa summary nzuri sana.. Pamoja mkuu 🙏🙏
 
Ubora wa elimu upi ? , Hao waliograruate miaka ya 60,70,80,90 huko wameleta impact gani kwenye jamii hii ya kitz sio kila siku kukaa na kuandika ujinga hapa kwamba graduates hawana impact hao ambao walikuwa na impact ya kuleta mabadiliko nchi hii ndio wakina nani ,? .
Nchi hii miaka 60 bado inapambana na ujenzi wa vyoo kwa misaada ya USAID
 
Mwanachuo anauhakika wa kupata matokeo mazuri kwa uwezo wa fedha yake ambayo atatoa kwa waalimu. Matokeo makubwa tunazalisha wanasomi wenye uwezo mdogo sana.
Kwa mantiki hiyo “wanauwezo mkubwa wa kuchanganua mambo”; Kama ‘udhaifu’ wa mhadhiri ni ‘vijisenti’ kwanini ujitese!!?


Kuna tofauti kati ya “attitude” na “aptitude”; shida tuliyonayo ni “attitude” sio “aptitude”, darasa la saba ana “aptitude” ndogo sana kulinganisha na “graduate”.

Ila inahitajika “right attitude at the right era and society”, ‘darasa la saba’ mwenye “right attitude" lazima ata m-“outshine” mwanachuo yeyote.

Hata hivyo wasomi wa za amani ndio wametufikisha hapa; vijana hawaokoti na wala hawajatengeneza mifumo yao. Tumefikishwa hapa tulipo na hao “ma-cream” wa enzi hizo:

"form-six-ya-zamani”
”form-ya-zamani”
“darasa-la-saba-la-zamani”
 
Hivi kwa huu utaratibu wa vyuo vingi tulivyo navyo hapa nchini tunatarajia hawa wasomi wetu watatutoa kweli. Vyuo vingi vinatoa wahitimu wengi lakini ambao wanakosa sifa za kiusomi kwa sababu nyingi.

Na hizi ndizo nilizobaini kwanza uwezo mdogo wa hao wanachuo wenyewe katika mazingira ya kuchanganua mambo na yote hii imezalishwa na mfumo wetu tulojijengea kati ya wanachuo na walimu hivyo wanachuo kukutaka kuumiza vichwa kwa kuwa mwisho wanauhakika wa kupata matokeo mazuri.

Na hii yote inajengwa na rushwa .Mwanachuo anauhakika wa kupata matokeo mazuri kwa uwezo wa fedha yake ambayo atatoa kwa waalimu. Matokeo makubwa tunazalisha wanasomi wenye uwezo mdogo sana.

Angalizo hii sio kwa vyuo vyote kuna baadhi ya vyuo vinazingatia misingi ya elimu bora na wahitimu wake ni bora lakini baadhi ya vyuo vingi mtindo ndio huo na si vyuo binafsi tu hata vyuo vya serikali mtindo ndio huo.

Asalaam Alekuim wahusika wa Elimu mnakaribishwa kwenye mjadala mapana
Nyie zenu kulalamika
 
Hivi kwa huu utaratibu wa vyuo vingi tulivyo navyo hapa nchini tunatarajia hawa wasomi wetu watatutoa kweli. Vyuo vingi vinatoa wahitimu wengi lakini ambao wanakosa sifa za kiusomi kwa sababu nyingi.
Kuna “werevu” na “weledi”, kwa namna ambavyo wasomi wa zamani wametufikisha hapa utakugundua kuna ‘kambegu-ka-unafiki’ kalipandwa bilashaka bila ya kujua.
Elimu ilizalisha ‘wafuasi wa fikra’ huku utundu vikitafsiriwa kama utovu wa nidhamu.
Walimu kama wapishi wakuu wakisadinisha woga katika akili na mioyo ya wanafunzi. Mifumo ya siasa na falsafa viliithiri elimu ambayo ikazaa wanafunzi wenye fikra fuasi , walilprogramishwa utii na adabu na walihimizwa kusoma kwa bidii ili wapate kazi.

Wasomi ambao walisoma miaka ambayo simu, mpira, ajira, muziki shuleni vilitafsrika kama uhuni na sio ajira!

Jamii imebadilika na ukweli umebadilika mabo yamekuwa tofauti , wasomi wetu wa zamani bado wanahubiri kwenye shule zetu mambo yale yale
 
Back
Top Bottom