Vito Corleone
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 2,418
- 5,257
Kiongozi wa KIROHO wa Benny Hin nazani ni Catherine kuhlman na huwaga anaenda kutembelea kaburi lake Anasema Ile roho ya Catherine ime incarnate kwakeMkuu, nilieleza kuwa hao niliowaweka ni ambao kwa namna Moja ama nyingine nimebarikiwa na huduma zao.
Nilivisoma vitabu kadhaa vya Uebert Angel, japo kuna baadhi ya mambo ambayo mwanzoni vilinitia mashaka kuhusu huduma yake, niliamua kupuuzia baada ya kubaini kuwa mentor wake ni Pastor Chris.
Pastor Chris naye nilikuwa nina mashaka naye, lakini mashaka yaliisha nilipogundua kuwa rafiki yake wa karibu ni Benny Hinn.
Hata Benny Hinn, nilikuja kumkubali vilivyo baada ya kugundua ukaribu alikokuwa nao na Reinhard Bonnke.
Unauona mnyororo ulivyo? Bonnke, Benny Hinn, Pastor Chris, Uebert Angel.
Lakini sivyo tu, huwa nina "falsafa" yangu kwa habari ya watumishi. Kwamba, katika mafundisho yao, nitatofautisha chuya na wali. Nikikutana na chuya, nitatema lakini wali nitaumeza.
"Sibugii" kila kitu kisemwacho na mtumishi. Nikijiridhisha kuwa akisemacho kipo nje ya Biblia, nakiweka kando nasubiria kingine.
Chuma Huyu mpaka Raha yaaniPAST Elingarami Munishi,namuona yuko objective sana.
Comedian tu huyoPastor Daniel Mgogo
Amehusishwa sana na utapeli wa kuuza dhahabu Zimbabwe. ingia kwenye hii link utaona alivyojihusisha na kutafuta mafanikio.Uebert Angel ana shida gani mkuu? Mbona yupo vizuri tu!
HakikaYupo huyu Baba wakuitwa George Mukabwa yupo Mwanza tenga Mda wako umsikilize. Hutojutia
Kwangu mimi mpaka sasa kwa hapa Tanzania ni hawa.
1. Mwalimu Christopher Mwakasege
2. Pastor Carlos Kirimbai
Jamaa wanaijua bible fresh, wanaisoma kila siku, na wanatamani kila mtu aisome Bible fresh na kuitambua. Yote kwa yote wanakufanya umjue Yesu at personal level bila kubabaishwa na chochote au yoyote.
Naambiwa walifanikiwa kuukwepa upepo wa kidini (kidhehebu) uliokuwa ukivuma vilivyo miaka ya 90, na wamefanikiwa pia kuuvuka huu upepo wa sasa wa tamaa za mali na umungu mtu unaotikisa kanisa la Tz kwa zaidi ya 80%.
Yote kwa yote jamaa wanaweza kukushawishi umjue Yesu na kuijua Bible fresh hata kama wewe sio mkristo au wewe ni mpagani.
kwani naye ni mhubiri?
hahahaha wazee wa kutafuta michuzi mingiGwajiboy askofu, mwingira mtume na nabii, kakobe askofu, mwamposa mtume, mussa richadi mwacha nabii, geodavie nabii. KIKUNDI CHA MATAPELI WAKUU TANZANIA.
Miujiza ndio inakufanya uamini dini ya kweli???Mwampo sio tapeli watu wanapona wenye matatizo wwngi wamefunguliwa
Hili somo ninalo ni [emoji91]Mensa aliwafundisha somo moja. 21 principles of success.
Ile ni course ambayo inatakiwa ifundishwe chuoni kwa miezi 3
Huyu mafundisho yake yamebase kwenye ndoa mwanzo mwisho ni story za migegedoPastor Daniel Mgogo
Kwanza rekebisha andika Mungu kwa kuanza na M kubwa.Je? Kuna watumishi wa mungu ukifka tu wanataja matatizo yako before ujawaelezea? Hii imekaaje wataalam??
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
We jamaa unaelewa sana, nikiperuzi mtandaoni nikiona clip ya Mgogo huwa nairuka [emoji1787][emoji1787]Yule anahubiri au anasuta na kufanya comedy. Anahubiri saa Zima bila kuweka hata kifungu kimoja cha Biblia zaidi ya kufanya utani na kuchomekea maneno ya mtaani. Mtu mwenye akili timamu hawezi kaa na kumsikiloza mgogo hata mara 1.
[emoji120]Uko sahihi sana. Nafkiri mada ilitakiwa kuzitaja kazi za watumishi na si kulinganisha sifa bila vigezo.
Nitatoa mfano, Paulo, mtumwa wa Yesu Kristo anasema yeye ni zaidi ya wale thenashara. Lakini zaidi katika nini? Ni katika kufungwa, katika kufunga, katika dhoruba na katika mapigo. Yaani zaidi katika taabu ya injili. Lakini pia yeye ndiye aliyefanya kazi ya kusambaza injili zaidi kwa mataifa. Lakini pamoja na yote hakuwadharau wenzake, isipokuwa aliwaonya kwa upendo.
Pia, ikumbukwe hizi karama za roho hutolewa na roho kadri apendavyo roho mtakatifu. Mwingine mwalimu, mwinjilisti, utume na unabii.
Neno linatuagiza tuzijaribu kila roho, tupime au tuwatambue watumishi kwa matunda yao na maisha yao kwa ujumla. Na pia tuangalie nani kawaachia joho, yaani tuangalie baba zao wa kiroho.
Paulo aliitwa na Yesu akapewa Philipo, kuna Elisha na Eliya, kuna Musa na Haroun, Joshua na Caleb, kuna Paulo na Timotheo. Watoto wa Kulola na Lazaro unapata TAG / EAGT hapo kwa DSM hapo ma nguli kama Katunzi, Kakobe na wengi ambao wameanzisha huduma na zimesimama imara mpaka sasa.
Hivi ndivyo vipimo vya kibiblia. Ni muhimu kukumbuka kuwa hiyo ni mifano michache. Wapo watumishi wa Mungu wanafanya kazi kubwa hasa vijijini na wanatumika kweli kweli lakini hawaimbwi sana masikioni mwa watu. Ukiwa mfatiliaji wa injili utalielewa hili.
Ana control malaika? HowNaichukia injili yake ya ku control Malaika kwani sisi tumekuwa Mungu ase