API Gravity
JF-Expert Member
- Mar 15, 2016
- 658
- 765
- Thread starter
- #41
Wakiwa wanaongea wao kwa wao wanafurahi na kucheki, ila kwa abiria wamenuna kweli kweli kama ugomvi.Wakenya ndiyo walikuwa wanatabasamu hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakiwa wanaongea wao kwa wao wanafurahi na kucheki, ila kwa abiria wamenuna kweli kweli kama ugomvi.Wakenya ndiyo walikuwa wanatabasamu hapo.
Duu watakupasuaNa wakenya walivyo na sura nzito itakua uliona Safari chungu.
Si ndiyo maana wanaitwa manyang'au.Wakiwa wanaongea wao kwa wao wanafurahi na kucheki, ila kwa abiria wamenuna kweli kweli kama ugomvi.
Mbona umeacha SAA ? Hao wote waliobakia ni chupa na mfuniko tu kwa upande wa ubora sana sana mtu utaangalia itenary nyepesi na fupi.Mkuu API Gravity pole kwa yaliyokukuta. Naomba kuuliza swali nje kidogo ya mada, hivi mtu akitaka kusafiri humu humu Africa ambapo Kenya airways, Ethiopian airways, Egyptian airways, Rwandan airways zinaweza kukufikisha wewe utapanda ndege ya shirika lipi? (assume bei hazitofautiani sana). Nipe Prefence 1-3
Ahsante
Kwangu ni bora nipande ET kuliko KQMkuu API Gravity pole kwa yaliyokukuta. Naomba kuuliza swali nje kidogo ya mada, hivi mtu akitaka kusafiri humu humu Africa ambapo Kenya airways, Ethiopian airways, Egyptian airways, Rwandan airways zinaweza kukufikisha wewe utapanda ndege ya shirika lipi? (assume bei hazitofautiani sana). Nipe Prefence 1-3
Ahsante
Jaribu Tanzania Airways. Nilipanda hiyo kuelekea Uganda, I am telling u, the experience was out of this planet. It is the best airline anywhere in the world.Kwangu ni bora nipande ET kuliko KQ
Habari wakuu,
Mwishoni mwa wiki jana nimesafili kutoka Guangzhou hadi Nairobi kwa ndege ya shirika la China Southern Airways na kumalizia safari yangu Dar es salaam kwa Kenya Airways. Ndani China Southern wahudumu walikuwa wenye bashasha, furaha na tabasamu la hali ya juu mda wote wanapopitapita au hata pale wanapokusemesha, ukimwangalia tu anatabasamu. Kipindi nilikohoa kidogo mmoja alikuwa karibu akanipa pole na kuniuliza kama nahitaji msaada.
Sasa kivumbi ndani ya KQ, wahudumu wamenuna sijapata kuona kwenye maisha yangu ya usafiri wa anga, mhudumu anaandaa abiria kwa ajili ya ndege kuruka kakunja sura halafu anatowa maelekezo kwa ishara kama bubu vile. Ilifika mahali nikajikoholesha makusudi na mhudumu akiwa karibu yangu ili nione response kulinganisha na ndege ya wachina, cha ajabu mhudumu hata hakugeuka kuniangalia.
Lingine nililoliona ni wahudumu kuanza kuzurura ndani ya ndege mda kidogo tu baada ya kuruka na pia karibia kabisa na mda wa ndege kutua. Sasa hili sijui kiusalama liko vipi, nikilinganisha na China Southern niliotoka nao huko uchororoni mwa China hadi Guangzhou na Guangzhou Nairobi mambo hayakuwa namna hiyo.
Wito kwa wahudumu wa KQ, hebu badilikeni jamani huduma nzuri kwa abiria wenu ni mhimu kwa ustawi wa shirika lenu. Na nyie KQ wenyewe walipeni vizuri basi hawa watu wawe na furaha, haiwezekeni mhudumu tena wa kike ndani ya ndege kukunja sura kama Tyson anaingia ulingoni.
Ni hayo tu kwa leo.
Best airline ever!Best customer service too!Jaribu Tanzania Airways. Nilipanda hiyo kuelekea Uganda, I am telling u, the experience was out of this planet. It is the best airline anywhere in the world.
Best airline ever!Best customer service too!
KQ - Kenya Airways
ET - Ethiopian Airways
FN - Fastjet
PW - Precision Air
CZ - China Southern
Sikukosea kuandika KQ