johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Yule alikuwa Double kama Michael Jackson aliyekuwa Tanzania na kudai Dar inanuka!Huyo Putin si juzi tarehe 22-24 alikuwa Iran kakutana na Rais wa irani na raisi wa uturuki.. aliugulia huko huko Iran ama?
UKRAINE wanakufa MANAZI tu RAIA wooote wapo salamaSi unaona ameanzisha maangamizi Ukrain!, mamia ya innocent civilians wamepoteza maisha: hii ni sababu tosha kumuogopa
CIA utafananisha na majasusi ya Kremlin!?Wiki iliyopita C.I.A walianza kujiweka mbali juu ya afya ya Putin na kudanganya kuwa yupo imara,
Hawa watu wakikusifia jua kwamba kuna kitu sio buree,
Madaktari wawe karibu sn na huyo babu la sivyo vita aliyoianzisha huko Ukraine hataiona mwisho wake.
Amla toka usingiziniWest hawajawahi shindwa na kitu, Putin mshale wake wa sekunde unasoma kwa kasi,
Russian wajiandae kuweka mbadala wake.
Na Joe ni majasusi pia ? Au utataka nifungue uzi unaomuhusu Joe ndipo niulize swali hili?MAJASUSI WASHAFANYA YAO OHOOOO
Hata mimi hilo linanishangaza sana - sijui wamelishwa nini? Kama propaganda hizi zingekuwa zinatokea US na UK ninge elewa, lakini sio hapa uswahili.Kama vile hamna akili [emoji28][emoji28][emoji28]
Hivi mmeoiona afya ya Biden ilivyo mpaka sometimes ana kuwa ana sahau sahau hata mlango aliotumia kupitia kuingia ktk press nilidhani kwamba pro western mtatenga muda wenu kulijadili Hilo badala ya kukaa na kuanzisha propaganda za kipumbavu
Nilipo ona wameanza kutumbukiza masuala ya Double, basi wenye akili wakajuwa hizi ni stori za kutunga tu ili kufurahisha baraza.Yule alikuwa Double kama Michael Jackson aliyekuwa Tanzania na kudai Dar inanuka!
WEWE TU...Na Joe ni majasusi pia ? Au utataka nifungue uzi unaomuhusu Joe ndipo niulize swali hili?