johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Yule alikuwa Double kama Michael Jackson aliyekuwa Tanzania na kudai Dar inanuka!Huyo Putin si juzi tarehe 22-24 alikuwa Iran kakutana na Rais wa irani na raisi wa uturuki.. aliugulia huko huko Iran ama?