Karibu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
KaribuUzinzi
KaribuMkuu naomba kazi ya kuwafanyia interview
KaribuUzinzi job
KaribuniSifa za waombaji,
1. Awe msichana kuanzia miaka 18 hadi 30.
2. Awe ana ujuzi wa massage na urembo (beauty therapy)
3. Awe mkazi wa dar es salaam, ikiwa anaishi ilala atapewa kipaumbele.
4. Awe tayari kufanya kazi bila msukumo.
Mshahara kwa mwezi ni tsh 200,000/=
Chakula cha asubuhi na mchana kinapatikana ofisini.
Wahudumu wanaohitajika ni wawili (2) tu.
KUOMBA NAFASI HII BONYEZA LINK HAPO CHINI
jobsfacilitators@gmail.com
Ni uzinzi huo, upuuzi mtupuDivision of labour 📌 ww kama unaona kazi za wengine ni uzinzi basi ww upo kwenye kundi la utumwa na kuhenyeshwa
Watakuja mkuuSifa za waombaji,
1. Awe msichana kuanzia miaka 18 hadi 30.
2. Awe ana ujuzi wa massage na urembo (beauty therapy)
3. Awe mkazi wa dar es salaam, ikiwa anaishi ilala atapewa kipaumbele.
4. Awe tayari kufanya kazi bila msukumo.
Mshahara kwa mwezi ni tsh 200,000/=
Chakula cha asubuhi na mchana kinapatikana ofisini.
Wahudumu wanaohitajika ni wawili (2) tu.
KUOMBA NAFASI HII BONYEZA LINK HAPO CHINI
jobsfacilitators@gmail.com
Habari. Ofisi zinaongezeka na wahufumu pia wanabadilika kila baada ya muda. Karibu.
KaribuHii ni moja ya bonge la biashara